...sikwambii.....

Amenishinda huyo mume, ndio maana nikakwachia.
Kazidisha ugumegume, kila chakula adandia.
Ya chumbani tena usiombe, hadi kanichefua.
Bora tumia wako ufundi, huenda mkaendana!
mpenzi wangu!lol!METISHAAAAAAAJE!
nakuandalia bonge la wanda la maana!
af unasemje we ni mbovu kiswahili!
yani umekoshaje sasa! Gaijin anapaswa akupe tuzo maridhawa hapa!
 
Last edited by a moderator:
Is that all you can say?
sikwambii tu jinsi inabidi utaraji usiyotaraji
amekaa kidigitally zaidi!
af The Boss fidia sadaka ulizofanya zipungue kanisani!una kesi na sisi ujue na unazidi kuharibu hapa! Kaunga mwaya huyu tumwandalie vifungu kipanda tu mimbarini ataje ya utoto!
 
Last edited by a moderator:
mpenzi wangu!lol!METISHAAAAAAAJE!
nakuandalia bonge la wanda la maana!
af unasemje we ni mbovu kiswahili!
yani umekoshaje sasa! Gaijin anapaswa akupe tuzo maridhawa hapa!

Najaribu mpenzi; unajua ukitiwa moyo (si kukatishwa tamaa na wajuvi) basi unapata nguvu na ujasiri wa kujaribu; knowing that kuna watu watakukosoa positively.

Mambo lkn, maana siku hizi na 'dip' tu jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh.
Amemiss ibada ngapi vile?

 
Last edited by a moderator:
Miaka 3 baadaye bado msimamo ni huo huo; ila kuna mambo nimetumwa nikwambie. And I will soon.....
 


Sikwambi ushikwapo shikamana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…