Yaani tumegeuka kuwa Taifa la wajinga kama tumerogwa,sisi ndiyo inchi iliyokuwa na misimamo leo hii mwanamke kutoka Zanzibar anakuja kututawa kweli? Tutawambia nini Wamasai na Wasukuma kanda ya ziwa,unawambia nini Wahehe na Wanyakyusa watakuelewa maana hizo ni jamii ambazo mwanamke hana nguvu na siyo ubaguzi bali ndiyo ukweli sababu huwezi kumfananisha Magufuri na Samia hata kwa dawaNi Lissu pekee ndiye atakaye irudisha Tanganyika kwa Watanganyika. The rest wanachoangalia ni matumbo yao tu.
Hapo mwanamke amewekwa tu kama picha ya ukutani. Wahuni ndiyo wanao tawala. Na usikute hata hizo pesa za kununulia mitungi ya gesi, baiskeli na pikipiki za kuwahonga wajinga; ni hao wahuni ndiyo wametoa ili baadaye zirudi mara dufu kupitia unyonyaji na wizi watakao ufanya kwenye raslimali zetu.Yaani tumegeuka kuwa Taifa la wajinga kama tumerogwa,sisi ndiyo inchi iliyokuwa na misimamo leo hii mwanamke kutoka Zanzibar anakuja kututawa kweli? Tutawambia nini Wamasai na Wasukuma kanda ya ziwa,unawambia nini Wahehe na Wanyakyusa watakuelewa maana hizo ni jamii ambazo mwanamke hana nguvu na siyo ubaguzi bali ndiyo ukweli sababu huwezi kumfananisha Magufuri na Samia hata kwa dawa
Unacho takiwa kukijua ni kwamba huyu mama ni bingwa na maarufu kwa kutoa rushwa na kilichopo katekwa na wanamtandao ambao kupitia ukilaza wake kama Rais wanamtandao wana nufaika sana kupitia rasilimali za nchi ndio maana wapo radhi kufanya lolote abaki madarakaniHivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini
Watanganyika wanachoangalia ni maokoto tu na sio maslahi ya nchiHivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini
Ignorance of its kind. Tupo Tanzania iliyoasisiwa na Mtanganyika. Hujui hata kilivhotokea, halafu unakuja na mihemko. Waanzilidhi wa ni wale wa pande za Bara. Rejea kauli za Nyerere, Sitta na za yule aliyesema kanisani. Kwa nyinyi mulivyo, hata wewe ukipata ulwa leo utasema kama walivyosema hawa winzio. Kwani nyinyi muna tamaa ya fisi na husda ya kuzaliwa.Hivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
Tatizo udini na ubaguzi ndio unaowasumbua.Hivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
Umeshesema mwanamke mtanganyika halafu unasema akagombee Zanzibar mbona unajichanganya ?atagombeaje Zanzibar wakati ni mtanganyika?pole sanaHivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
Haa haa kwani huyo Samia ni Rais wa Tanganyika au Tanzania?pole sanaYaani tumegeuka kuwa Taifa la wajinga kama tumerogwa,sisi ndiyo inchi iliyokuwa na misimamo leo hii mwanamke kutoka Zanzibar anakuja kututawa kweli? Tutawambia nini Wamasai na Wasukuma kanda ya ziwa,unawambia nini Wahehe na Wanyakyusa watakuelewa maana hizo ni jamii ambazo mwanamke hana nguvu na siyo ubaguzi bali ndiyo ukweli sababu huwezi kumfananisha Magufuri na Samia hata kwa dawa
Ewaaah !Watanganyika wanachoangalia ni maokoto tu na sio maslahi ya nchi
Na wewe inaonyesha hata mfumo wa muungano huujui pole sanaTatizo udini na ubaguzi ndio unaowasumbua.
Dunia ni duara kweli. Umefika wakati mtanzania bara analalama kuhusu muungano . Ni chuki tu hakuna tatizo ndio inawafanya hawa waovu kuleta fitina baina ya watanzania.Hivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
Unachanganyikiwa ukiwa wapi?Hivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
Hawalalamikii muungano wanalalamikia Samia kua Raisi wa muunganoDunia ni duara kweli. Umefika wakati mtanzania bara analalama kuhusu muungano . Ni chuki tu hakuna tatizo ndio inawafanya hawa waovu kuleta fitina baina ya watanzania.
Umoja ni nguvu
Yaani unaniuliza mimi nataka nini?Mnamfunga Tundu Lissu mzalendo unampa inchi mgeni tena mwanamke unaakili weweUnachanganyikiwa ukiwa wapi?
Hata haijulikani mnataka nini au hamtaki nini!
Ili mradi wewe ni mtu wa kupinga pinga bila hoja, utachanganyikiwa tu ni swala la muda.
Mgeni gani ambae amepewa Nchi?Yaani unaniuliza mimi nataka nini?Mnafunga Tundu Lissu mzalendo unampa inchi mgeni tena mwanamke unaakili wewe