Single mother
Senior Member
- Jun 10, 2015
- 158
- 57
Ni bora tu ningeanza mapenzi hata tangu zamani, nimemkosea nini Mungu (ni huo uzinzi nilofanya nikabeba mimba?) Nakosa suluhisho hili jambo linaniumiza sana moyoni japo wanaoniona nacheka hawawezi kujua, natamani nitumie helicopter nimwagie wanaume wote petrol angani niwalipue nawaona wakatili sana hawana huruma.
Nafikia mahali nawaza niwe na style gani ya maisha niwaepuke wanaume kama ebola.
Nafikia mahali nawaza niwe na style gani ya maisha niwaepuke wanaume kama ebola.