Dominik Dominik
Member
- Jun 3, 2025
- 94
- 144
ISEE kiukweli mwenzenu nna majuto+furaha,kuna binti nilikutana nae katika harakati zetu vijana,mimi ni kijana ambae sijawahi kuoa japo ka umri kangu kanakaribia thirty,huyu binti sio pisi kali wala nini,na mimi niliwish siku zote nije kuoa binti ambae ni standard ili kuepusha mambo mengi against presha nk.
Mwaka huu januari kajifungua mtoto wa kiume,na ndo uzao wangu wa kwanza tangu nizaliwe.amezalia kwao pia baada ya kupata tu ujauzito alienda kwao.Wakuu nilisex nae mara mbili tuuu.Mara ya kwanza nilisex nae alitoa harufu kali sana,sio ya kisamaki nooo,namaanisha harufu kali unaweza dhani kuna kiumbe kimeozea ndani nakumbuka siku hiyo ilibidi nipige bao moja tukaishia pale.Alivoondoka nikampigia simu usiku tulivokuwa tunachat nikamuuliza kama ana ugonjwa kuhusiana na sehemu ya siri akasema sina,nikamdamganya kuwa mbona tulivoanza kusex ni kama ulikuwa unagugumia maumivu wakati wa kupenetretisha? akajibu ni vile hakuwa amelowa.
Basi,mimi nikapata wazo kuwa kwakuwa amesema haumwi,yawezekana kweli mimi kwa kuwa sikumuandaa vya kutosha au pengine hajajua kujisafisha sehemu zake kwa kuwa bado nae utoto mwingi NIKAPOTEZEA.MARA ya pili akajaga geto tena akatoa harufu ile ile kali japo hakugugumia maumivu lahaullah nikagundua huyu binti ana matatizo bac baada ya hapo nikamhoji tena nikamchana kwamba ana tatizo la harufu ukweni hivyo akipata muda tutakwenda kwa gynecologist hospitali basi akachukulia nimemdharau tukafokezana sana siku hiyo mpaka akakasirika akatoka geto hatukuwasiliana kama wik hv,Kwa kuwa niligundua ana hasira na ni mbishi mi nikaona haina nouma bas nikampotezea.LAKINI AKAJA KUNITAFUTA kama wiki mbili mbele kunipa taarifa kuwa ana ujauzito.
WAKUU HOJA YANGU SIO UJAUZITO,niliipokea taarifa kwa uzuri japo moyoni mwangu niliona sasa itakuwaje tena,maana binti kanizalia tayari na vp kama ntamuoa na harufu itaendelea hiyo ndoa itakuwaje maana sijui kama ni ugonjwa au lah! ushauri wenu wazoefu.
Mwaka huu januari kajifungua mtoto wa kiume,na ndo uzao wangu wa kwanza tangu nizaliwe.amezalia kwao pia baada ya kupata tu ujauzito alienda kwao.Wakuu nilisex nae mara mbili tuuu.Mara ya kwanza nilisex nae alitoa harufu kali sana,sio ya kisamaki nooo,namaanisha harufu kali unaweza dhani kuna kiumbe kimeozea ndani nakumbuka siku hiyo ilibidi nipige bao moja tukaishia pale.Alivoondoka nikampigia simu usiku tulivokuwa tunachat nikamuuliza kama ana ugonjwa kuhusiana na sehemu ya siri akasema sina,nikamdamganya kuwa mbona tulivoanza kusex ni kama ulikuwa unagugumia maumivu wakati wa kupenetretisha? akajibu ni vile hakuwa amelowa.
Basi,mimi nikapata wazo kuwa kwakuwa amesema haumwi,yawezekana kweli mimi kwa kuwa sikumuandaa vya kutosha au pengine hajajua kujisafisha sehemu zake kwa kuwa bado nae utoto mwingi NIKAPOTEZEA.MARA ya pili akajaga geto tena akatoa harufu ile ile kali japo hakugugumia maumivu lahaullah nikagundua huyu binti ana matatizo bac baada ya hapo nikamhoji tena nikamchana kwamba ana tatizo la harufu ukweni hivyo akipata muda tutakwenda kwa gynecologist hospitali basi akachukulia nimemdharau tukafokezana sana siku hiyo mpaka akakasirika akatoka geto hatukuwasiliana kama wik hv,Kwa kuwa niligundua ana hasira na ni mbishi mi nikaona haina nouma bas nikampotezea.LAKINI AKAJA KUNITAFUTA kama wiki mbili mbele kunipa taarifa kuwa ana ujauzito.
WAKUU HOJA YANGU SIO UJAUZITO,niliipokea taarifa kwa uzuri japo moyoni mwangu niliona sasa itakuwaje tena,maana binti kanizalia tayari na vp kama ntamuoa na harufu itaendelea hiyo ndoa itakuwaje maana sijui kama ni ugonjwa au lah! ushauri wenu wazoefu.