Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu kwa mara nyingine tena,bac baada ya kula kipigo kutoka kwa polisi kutokana na kuangukiwa na jumba bovu,soma hapa https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/107281-yaliyonikuta-leo.html
Nikaamua kurudi nyumbani,nafika nyumbani napokelewa na mwanangu mpendwa,mwanangu huyu ana kithethe
MWANANGU:shikamoo baba
MIMI:marahaba
MWANANGU:baba vp mbona mangeu namna hiyo?
MIMI:nimeng'atwa na nyuki hapo njiani,lkn niko kidogo afadhali.
MWANANGU:sawa baba ila kuna mgeni alikuja anitwa Marsh.
MIMI:Marsh!
MWANANGU:ndio baba anasema mlisoma wote shule ya msingi Mapambano.
MIMI:Yukoje kwani huyo Marsh mwenyewe?
MWANANGU:Mnene na ana ndevu nyingi tu
MIMI:sikusoma shule ya msingi na mtu mwenye ndevu
Nikaamua kurudi nyumbani,nafika nyumbani napokelewa na mwanangu mpendwa,mwanangu huyu ana kithethe
MWANANGU:shikamoo baba
MIMI:marahaba
MWANANGU:baba vp mbona mangeu namna hiyo?
MIMI:nimeng'atwa na nyuki hapo njiani,lkn niko kidogo afadhali.
MWANANGU:sawa baba ila kuna mgeni alikuja anitwa Marsh.
MIMI:Marsh!
MWANANGU:ndio baba anasema mlisoma wote shule ya msingi Mapambano.
MIMI:Yukoje kwani huyo Marsh mwenyewe?
MWANANGU:Mnene na ana ndevu nyingi tu
MIMI:sikusoma shule ya msingi na mtu mwenye ndevu