Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

wazawa

Senior Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
184
Reaction score
58
n lipi na kipi cha kukufanya uunipende wakati sikupi hadi siku ya ndoa
 
hicho umnyimacho ni penzi au uchi?
Je umeshawahi kujiuliza hamu zake anazimalizia wapi?
Nakupa siri, usiku wa leo njoo Kona Bar Kijitonyama Afrika Sana
 
Hamnaga ya hivyo.....wizi mtupu....!!!!
 
n lipi na kipi cha kukufanya uunipende wakati sikupi hadi siku ya ndoa

Hivi kumpenda mtu ni mpaka mpeane? Ninavyofahamu mimi ni kuwa upendo hujengeka kwanza kwa kutegemea vitu fulani fulani na kupeana huja kutimiliza furaha ya upendo. Kupeana sidhani kama ni dalili hasa ya kupenda kwa watu wanaoanza mahusiano ...!
 
Hivi kumpenda mtu ni mpaka mpeane? Ninavyofahamu mimi ni kuwa upendo hujengeka kwanza kwa kutegemea vitu fulani fulani na kupeana huja kutimiliza furaha ya upendo. Kupeana sidhani kama ni dalili hasa ya kupenda kwa watu wanaoanza mahusiano ...!
I second that:A S shade:
 
Hivi kumpenda mtu ni mpaka mpeane? Ninavyofahamu mimi ni kuwa upendo hujengeka kwanza kwa kutegemea vitu fulani fulani na kupeana huja kutimiliza furaha ya upendo. Kupeana sidhani kama ni dalili hasa ya kupenda kwa watu wanaoanza mahusiano ...!

We jidanganye tu. Kupeana hurutubisha mahusiano kwa kiasi kikubwa sana.

Msikremu mambo jamani, mnaharibu sana kama hamjui
 
hicho umnyimacho ni penzi au uchi?
Je umeshawahi kujiuliza hamu zake anazimalizia wapi?
Nakupa siri, usiku wa leo njoo Kona Bar Kijitonyama Afrika Sana

hahahaha Bujibuji unavituko sana,waambie sometimes huwa wanajisahau hawa viumbe
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumpenda mtu ni mpaka mpeane? Ninavyofahamu mimi ni kuwa upendo hujengeka kwanza kwa kutegemea vitu fulani fulani na kupeana huja kutimiliza furaha ya upendo. Kupeana sidhani kama ni dalili hasa ya kupenda kwa watu wanaoanza mahusiano ...!

Ewaaa hivyo vitu fulani fulani ndio pamoja na kugonganisha vikojo today lol
 
We jidanganye tu. Kupeana hurutubisha mahusiano kwa kiasi kikubwa sana.

Msikremu mambo jamani, mnaharibu sana kama hamjui

Kwa hiyo kabla hata hamjafahamiana na mtu kinachotangulia ni ngono? Kwa ufahamu wangu nilijua ngono huja baada ya kufahamiana na kuzoeana na kuaminiana, na hilo ni hitimisho la urafiki kabla ya uchumba kwa maisha ya sasa ....
sikujua kama nimekremu, kila la kheri!
 
Back
Top Bottom