mozambique
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 101
- 15
Leo tarehe 3 mwezi WA pili(2) nchini Mozambique tunasherehekea sikukuu ya mashujaa,na tunakumbuka mauaji ya aliyekuwa muasisi wa frelimo hayati eduardo mondlane,tunawapongeza mashujaa wetu wote.
A luta contra pobresa continua
A luta contra pobresa continua