Sikukuu ya mashujaa Mozambique

Sikukuu ya mashujaa Mozambique

Kwa jinsi tunavyoenda Msumbiji siku moja itatupita. Pia siridhiki na sera za JK za kuimarisha uhusiano zaidi na Wazungu kuliko Waafrka. Huyu jamaa vipi? Alishawahi kutembelea Msumbiji hata mara mbili? London na New York/Washington nadhani keshakwenda mara 10 kila moja!
 
Kila raheli ndugu zangu!!maombi yetu nchi iwe na amani tele na ikue kiuchumi..Zaidi ya yote pendaneni

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kuna dada alikua anaitwa Tomasina,hivi alikua ni mke wa kiongozi gani wakati wa kupigania uhuru wa msumbiji. Jina lake nililisikia kwenye hizo harakati lakini sikumbuki vizuri role aliyo play.
 
Aluta continua, nawapongeza kwa kuwakumbuka mashujaa wenu. Tulimpoteza rais makini sana marehemu Samora Machel, alikuwa hamalizi miezi 3 bila kupata mawaidha ya Mwalimu mara kwa mara alikuwa anatinga Bandari salama na ninakumbuka kwa usahihi kabisa hata wakati the late Moringe alipotoka Europe kwa matibabu wakati ule kama waziri mkuu wa Tanzania alimpokea Julius Dar International airport akitokea Maputo. That picture niliihifadhi lakini imepotea ukweli wa mambo ile picha ilikuwa na dira flani ambayo wengi wanaweza kuwa wanafahamu jinsi wakorofi wachache waliokuwa hawampendi Moringe walichotaka kukifanya. .... .... .. oooops thats another story.

Samora the man on a mission alitua Dar na kuhutubia uwanja wa taifa ready at any time alizungumzia kuhusu ulanguzi wakati ule hasa wa sukari et al na walanguzi walikuwa ni kaka, dada shemeji et al. Alijenga nyumba ya Mwalimu kule kijijini kwao kama shukrani za Wananchi wa Msumbiji bila kusahau ni nchi pekee iliyotamka hadharani kutuma jeshi lake kupigana bega kwa bega kumwondoa nduli ..... ..... ..... To cut the story short nawatakia mafanikio katika kuwakumbuka waasisi wa nchi yenu.

BTW Ile mikutano ya viongozi wa SADC walioua ni kina Mugabe et al ilikuwa muhimu sana, siku hizi tumekuwa na wezi ambao wamejitwalia madaraka kinyemela.
 
Somos Uma patria de herois porque temos honra e valorizamos a honra,hoje honramos homens e mulheres Para consentiram sacrificio a propria Vida,homens que se empenharam na busca da dignidade Para todos os mocambicanos,eh obrigacao de todo cidadao a indicar quem deve ser condecorado. Proclamamos perante qualquer desafio: o Partia vamos vencer. Feliz 03 de fevereiro,um abraco do teu General.
Viva frelimo.
Viva mocambique.
Viva Africa.
A luta contra pobresa continua.
Nalog off
Tu és Tanzaniano ou Moçambicano? Falas bem portugues. Viva Moçambique, viva língua portugues. Abraço.
 
Tu és Tanzaniano ou Moçambicano? Falas bem portugues. Viva Moçambique, viva língua portugues. Abraço.
So Tanzaniano mas tenho 20 anos a viver em moçambique. Outro
Nalog off
 
Back
Top Bottom