Naombeni kujuzwa jaman.Kuna mtu kaniambia jumatatu ni kazi kama kawaida.je ni kweli?
Sikukuu ya eid inaangukia hadi jumatatu hivo, jumatatu ni eid pili
uku Zenji sikuu siku nne
Naombeni kujuzwa jaman.Kuna mtu kaniambia jumatatu ni kazi kama kawaida.je ni kweli?
Jamani kuweni serious, kesho ni mapumziko au vipi?
Jamani kuweni serious, kesho ni mapumziko au vipi?