Yaani mnategemea Mwezi, Kwanini Msimuulize Allah? Kwani Allah na Mwezi nani ni ABKAR?
KUMBE MWEZI NDIYE MOLA MLEZI ANAYEABUDIWA NA WAISLAMU!
Q6:77 SURAT AL - AN-A'AM
Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua asema:Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea.
HII NDIYO SIRI YA ILE NYOTA NA MWEZI ILIYO JUU YA KILA MSIKITI!
"ALLAHU AKBAR"
Sasa Mwezi kuchagua siku ya Kufungua. Tuusubiri Mwezi.