IDD ni kesho INSHAALLAH!naomba kuuliza wakuu anayefaham sikukuu ya ID ni lini? anijulishe asanteni sana
siku hizi ufungaji umeboreshwa
?
Unategemea nimgeuzie na shavu jingine kisa nimefunga???no,waislam sii dhaifu namna hiyo!!!!Hivi umefunga kula tu,matusi poa eeh?
Huo ni utabiri feki wa sheikh Yahaya. Ukienda kule jukwaa la siasa utashangaa zaidi kuona akina Msalani, Lizaboni, Faizafoxy, simiyu yetu, mwana diwani na wengine unaweza tabiri kuwa ni the same kwa pumba zao zinavofanana. Sisi tunafanana mitizamo yetu thabiti sio pumba.
Sawa sawa, lakini mdini sana wewe!
Ndugu,
U wapi uelewa,busara na uvumilivu wako.
Kwanini utukane na upandishe jazba wakti wajua kabisa kuwa sio watu wote wenye kufafana kimitizamo!?
Onesha ukomavu wako kifikra pale unapokuwa katika angry emotions, utaokoa mengi.!
Nakutakia Idd njema.
Mkuu mi sio mdini sana ila hawa jamaa wanajifanya wanajua sana kukejeli dini za wenzao ndo maana mi naenda nao sawa siwaachii hata nafasi nawabana mbavu kisawasawa mpaka wanasahau mfungo wanaanza kutukana ovyo ishara ya kushindwa ligi.
Nna wasiwasi anapocomment huyu amakyaka ni lazima boban sunzu nae awepo, are they the same?
astagafulih yan mitusi yote bado una swaumu tuu khaa mkuu leo unashnda na njaa hlo dubwana ulilo taja ni kubwa mno
Why fighting?
naomba kuuliza wakuu anayefaham sikukuu ya ID ni lini? anijulishe asanteni sana