LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,268
- 17,993
Miaka ya nyuma sikukuu kama hii jamii nyingi zilijumuika pamoja kula na kunywa bila kujali nani ana hela au chakula nyumbani kwake,tofauti na sasa kila familia inakula kivyake walichoandaa.Kupata mualiko wa kwenda kugonga menyu kwa ndugu,jamaa au rafiki ni shughuli pevu