Sikujua kama wenje ni kivuli kabisa...

Mzee Wa Maono

Member
Jul 18, 2011
52
10
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.

NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.
 
Mzee wa Maono, maono haya yalikujia usiku ukiwa tayari umeshapiga viroba nini? sio kila unachoota usingizini ukilete hapa.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
jaribu kwenda hata kubrashi viatu kwa shoe shine kuliko kukaa hapa na kuandika umbea!!!

hilo vumbi wewe unaona ni sawa?
 
Huu ni upuuzi, sasa unataka sisi tujadili umbeya? ama ndugu yako ndiye aliangushwa kwenye kura ya maoni, uongo na fitina kama hizi hazina nafasi CDM. Kama utaendelea nazo nakushauri uhamie magamba
 
ila huyu ni moja ya wawakilishi wetu mahiri na makini kupitia chama chetu na kwakweli ni muwakilishi halisi wa watu wake na hakika huyu si kivuli ila mfuatiliaji hodari wa kazi alizotumwa na wananchi na serikali ya chama chetu cha ccm
283509_141022539312971_100002156774748_272727_7021239_n.jpg
 
Inaonesha namna gani ulivyoni mpumbavu,thread yako haiendani na maelezo yako,inaonesha una chuki binafsi na Mh Wenje tena inaonekana wewe wa kuja tuu kwa sababu haujui hata yeye ni Waziri kivuli so endelea kubaki na ujinga wako,chuki zako peleka huko huko
 
Acheni kutukana, hapo cdm mnaonekana hamna uwezo wa kjenga hoja, jibuni kama hajahamia dsm na sasa semeni mkewe na wanawe wanaishi wapi, je wamachinga anaowaambia wauze bidaa hadi misikitini wataishi katika maisha ya umachinga hadi lini, je nyie mnaijua mwanza/nyamagana au mnakurupuka tu, jibuni wenje ana nini alichoanza kuchora cha maendeleo ya siku zijazo acheni kushibikia tu mtaaibika.
Subirini siku zifike tu muone wash...zi sana.
 
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.

NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.

Wenje yupo Dar na familia yake , wanakaa Mbezi Beach. Wana mwanza mmeliwa , ndio tatizo la kuchagua watu msio wajua na macheki bob
 
Wenje yupo Dar na familia yake , wanakaa Mbezi Beach. Wana mwanza mmeliwa , ndio tatizo la kuchagua watu msio wajua na macheki bob
yaani wewe ninavyokuchukia wewe! WEWE JINGA LA KWANZA PUMBAFU ZAKO!
 
Acheni kutukana, hapo cdm mnaonekana hamna uwezo wa kjenga hoja, jibuni kama hajahamia dsm na sasa semeni mkewe na wanawe wanaishi wapi, je wamachinga anaowaambia wauze bidaa hadi misikitini wataishi katika maisha ya umachinga hadi lini, je nyie mnaijua mwanza/nyamagana au mnakurupuka tu, jibuni wenje ana nini alichoanza kuchora cha maendeleo ya siku zijazo acheni kushibikia tu mtaaibika.Subirini siku zifike tu muone wash...zi sana.
Shear nonsense and gossips. Tujibu nini?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.

NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.
Angalieni post zake ndiyo muanze kumuhukumu, la sivyo mnamuonea bure!!!...........Gamba at work!!!.
 
Asa kama unachuki binafsi nae afu unakuja kumwamsha hapa,,huoni umemsaidia na atajirekebisha?

Hilo la kuhamia dar,,litamkeketa wenje kwani yeye mwenyewe binafsi kwa kauli yake alitudanganya kuwa hata hama Mwanza.

Ila nakumbuka kwenye mkutano wake wa mwezi wa nne alitudanganya kuwa yuko dar mda wote kwasababu za kimasomo.
 
Mkuu hata kama angekuwa hajahamia Dar, lile jimbo hawana kwawaida ya kurudia mbunge, anzia kwa Shomari(1995-2000), Stephen Kazi(2000-2005), Lau Masha(2005-2010) na sasa Wenje labda atavunja rekodi na kushikilia vipindi viwili au zaidi.
 
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.

NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.

Dar es Salaam anaishi wapi?
 
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.

NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.

Mkuu, mbona hii imekaa ki-binafsi zaidi, kama mna tiffu bora muyamalize hukohuko.
 
Back
Top Bottom