Mzee Wa Maono
Member
- Jul 18, 2011
- 52
- 10
Ameanzisha ugomvi na walioshindana nae kwenye kura za maoni mwanza
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.
NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.
sasa akienda mwanza anawatafuta wazee wachache na kujificha nao wanapanga mbinu za kuwamaliza wenzake
alileta hoja ya kijinga sana kwenye cc ya chama eti, vijana fulani wafukuzwe chama ili wasimwangushe
mbaya zaidi amekua kama masha, anagombana na hapatani na madiwani wake kama alivyokuwa masha,sasa ajiandae tu.
Alitukana wazee wa kisumkuma eti waliomchagua ni vijana sio wazee.
amehamia dsm na familia yake na kuwaacha watu solemba na akienda mwanza anapitapita mitaani tu na kujifanya anakula kwa mama ntilie kumbe anawaroga vijana wampende,
ALIZUIA BAJETI YA MPANGO WA KUWASOMESHA WATOTO WA MWANZA, KISA YEYE ANA KAMFUKO KAKE KA KUWASOMESHA WATOTO YATIMA, NA HAWAPEWI WOTE NAFASI HIYO, ALIIPINGA KWA NGUVU ZOTE ILI APATE CHATI NA KA MFUKO KAKE.
hahaaa amepotea kabisa au pengine amegundua harudi tena kugombea, lakini watu wanadai alichoahidi aache ujinga huu, uhamba wa kuhamia dsm ni wawajinga .
Kanakunywa pombe kishamba sana, wakati wa kampeni aklikuwa kanajinadi kuwa kameokoka..kshnzi kabisa.
NINAMSHAURI AACHE UGOVI NA MADIWANI NA VIJANA AMBAO NI WA MWANZA, TENA HATA SISI TUKIMALIZA MASOMO TUTAENDA MWANZA KUWAULIZA ALICHOKIFANYA, CDM ISMKUMBATIE MJINGA KAMA HUYU WATU WAMEKUFA KWA UJINGA WAKE NA ANAHAMIA DSM, NI UFA...LA KBISA.