Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 357
- 621
- Thread starter
- #21
Isome vizuri Article 30 ya IGA utaona kuwa mabadiliko yanaruhusiwa ili kupata stablelization kwa Nchi zote mbiliMtatumia style zote,kuhalalisha huu mkataba lakini nyeupe itabaki kuwa nyeupe na nyeusi kuwa nyeusi,kama ni kweli kwanini kuna legal dynamics katika huu mkataba na supporters ni ruling class na wanaopinga ni watawaliwa wenye uelewa mpana katika wigo washeria ,maprofesa na madokta ,