Ukimwi ....kwani unagawa kitumbua bila kupima?Habari wanandugu,
Hili swala limekithiri kwa sasa mpaka najiuliza shida ni nini hasa yaani unakuta mtu anakufata with confidence kabisa through social media like "habari tunaweza kufanya one night stand? Yaani with confidence kabisa bila kuogopa chochote au unakuta anakutongoza within 4 days anakwambia mkanjunjane, hivi tatizo nini nini hasa?
Kwamba mahusiano yamekua magumu sana siku hizi ndio yanasababisha haya? Watu wanastress za mapenzi wamechoka... Au ni baadhi tu ya watu wameamua kujifyatua akili !!?
NB. Pia, tukumbuke takwimu za maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa sasa zimezidi
SHARE MAONI YAKO