The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Ilinitokea o level Azania miakaa kadhaa ilopita.nilikuwa darasa la biashara ila km ujuavyo masomo ya arts ikiwepo biology ilikua lazma..binafsi nikaongeza na ziada ya fine arts na computer studies jumla 11.
Kiukweli biology sikuwa freshi na wala sikwenda kwa mbuga mchikichini coz nliona haina future nami career-wise.
Tatzo lilikua kuwa kujisajili mtihani wa taifa inatakiwa masomo yasipungue saba yakiwemo compulsory arts kama biology..mimi nlitaka kutojisajili kudo biology coz kiukweli ningepata F ya sifuri kabisa.
Ndipo nikampiga chenga academic master wakati wa kusaini,bila ye kujua nikasaini kufanya masomo yote kasoro biology.ningeweza kusaini afu nsifanye lakn kwene cheti ingeandikwa biology halafu alama ya x kwene grade-which i didnt want.
Wakati wa kusubiri matokeo ya form 4 i was worried nkidhani yangu yatafutwa kwa kutokufanya core subject-biology.
Lahaula,nilifaulu div one kali sana.
Tatizo biology haijaandikwa wala kuappear kwene cheti changu hata kidogo.
Sasa hii inaniletea usumbufu mpk leo kila mahali nikienda wakigundua haipo wanajiuliza maswali mengi.
Wengine wanadhani nimefoji cheti,wengine wananambia ni automatic disqualification coz huwez kuwa na mtu asiyejua biology.Na wengne wanadai it is not possible in Tz mtu kukosa biology katika cheti chake cha o level.
Sijui nifanyeje...
Wako mtiifu,
Mtundu kisu
Kiukweli biology sikuwa freshi na wala sikwenda kwa mbuga mchikichini coz nliona haina future nami career-wise.
Tatzo lilikua kuwa kujisajili mtihani wa taifa inatakiwa masomo yasipungue saba yakiwemo compulsory arts kama biology..mimi nlitaka kutojisajili kudo biology coz kiukweli ningepata F ya sifuri kabisa.
Ndipo nikampiga chenga academic master wakati wa kusaini,bila ye kujua nikasaini kufanya masomo yote kasoro biology.ningeweza kusaini afu nsifanye lakn kwene cheti ingeandikwa biology halafu alama ya x kwene grade-which i didnt want.
Wakati wa kusubiri matokeo ya form 4 i was worried nkidhani yangu yatafutwa kwa kutokufanya core subject-biology.
Lahaula,nilifaulu div one kali sana.
Tatizo biology haijaandikwa wala kuappear kwene cheti changu hata kidogo.
Sasa hii inaniletea usumbufu mpk leo kila mahali nikienda wakigundua haipo wanajiuliza maswali mengi.
Wengine wanadhani nimefoji cheti,wengine wananambia ni automatic disqualification coz huwez kuwa na mtu asiyejua biology.Na wengne wanadai it is not possible in Tz mtu kukosa biology katika cheti chake cha o level.
Sijui nifanyeje...
Wako mtiifu,
Mtundu kisu