Okay,Lasikoki.
Me ni KE' mtupu,tangu Utosi tu Unyayo,labda una shida zako za ki-fikra.
Kwani Gay na Lesbo hawana haki? Changia mada,kama huna fungua za mods wengne.
Kuhusu kwamba stori nimeitunga,yawezekama wewe aidha,hujawahi kwenda HOTEL au GESTI.
CONCLD: Niachie cont zako ili nikipata jambo nikutaarifu uje ili uamini kama matukio haya yapo.
UNA LA NYONGEZA?