Sikuachana nae vizuri

Sikuachana nae vizuri

Mlanje

Senior Member
Joined
May 16, 2013
Posts
141
Reaction score
77
Nilikuwa na uhusiano na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 lakini niliachana nae baada ya kugundua ananisaliti baada ya yeye kukiri kunisaliti kiukweli niliumia sana ila niliamua kumwacha maana alionyesha kuendelea na jamaa ingawa baada ya miezi 2 waliachana.Katika uhusiano wetu nilishamvisha pete ya uchumba na kwao walikuwa wananifahamu,kibaya wakati tunaachana nilimtumia meseji nikimwambia yeye ni malaya na hii ilitokana na hasira za kuumizwa na kiukweli najifahamu sio mtu wa matusi.Alichofanya ni kumwonyesha mama yake na ndugu zake kuwa ameachana na mimi kutokana na mimi kumtukana kila siku na kwao nikaonekana sio mstarabu,mama yake alinilaumu na hakuamini lolote nililomwambia.Tangu siku hiyo sikumtafuta na yeye hajanitafuta na sasa ni miezi 3 imepita hatujawasiliana na mimi sioni kama ni ustarabu lakini sitaki kumtafuta maana ataona najishusha sana kwake ila kibaya namkumbuka sana,naombeni ushauri wenu maana nishamzoea sana
 
Nilikuwa na uhusiano na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 lakini niliachana nae baada ya kugundua ananisaliti baada ya yeye kukiri kunisaliti kiukweli niliumia sana ila niliamua kumwacha maana alionyesha kuendelea na jamaa ingawa baada ya miezi 2 waliachana.Katika uhusiano wetu nilishamvisha pete ya uchumba na kwao walikuwa wananifahamu,kibaya wakati tunaachana nilimtumia meseji nikimwambia yeye ni malaya na hii ilitokana na hasira za kuumizwa na kiukweli najifahamu sio mtu wa matusi.Alichofanya ni kumwonyesha mama yake na ndugu zake kuwa ameachana na mimi kutokana na mimi kumtukana kila siku na kwao nikaonekana sio mstarabu,mama yake alinilaumu na hakuamini lolote nililomwambia.Tangu siku hiyo sikumtafuta na yeye hajanitafuta na sasa ni miezi 3 imepita hatujawasiliana na mimi sioni kama ni ustarabu lakini sitaki kumtafuta maana ataona najishusha sana kwake ila kibaya namkumbuka sana,naombeni ushauri wenu maana nishamzoea sana
ungejisikijae kama huyo mpenzi wako wa zamani angepotelea kwenye ndege ya malaysia MH370?

Hebu tema big g uonje karanga za muuza ubuyu.
 
unamkumbuka sana sababu ya hali ya hewa amah
ila kuna watu mnajua kupenda duniani
 
Sijui utakua unataka nini na picha halisi ushaiona
 
Kwisha habari yako, unauza roho yako kwa ziraili.

Uchitiwe wewe, ujishushe wewe? Tufyakwa!

Watu wengine Mambwiga sana, alipokucheat ilikuwa dalili tosha kuwa alikuona si chaguo lake sahihi, mmeachana akakusingizia kuwa ulimtukana bila kukiri wala kujutia kuwa alikukosea yeye, kakazania ili uchumba ufe, hakuja kukuomba radhi ili umsamehe, kakaa miezi miwili katika relationship na mtu aliekucheat nae without any signs of having second thoughts about the new relationship na kukuacha, bado unamfikiria?
Una matatizo makubwa sana ya emotional dependency, yaani unaamini kuwa ni yeye tu anaeweza kukufanya uwe na furaha, amka usiwe mse..g., kuwa mwanaume! We ni mburula sana ila usikasirike, umeniudhi sana!
 
Yapi mengi ya kufanya ila lengo mbinguu
Usije kukosa mbingu kisa dem
 
Mkuu umeikumbuka pete yako nin?au alikurudishia?teh teh
 
Hizi mvua hizii duuuh hata ukimfumania humuach et nimeozoea angakia vzur mvua niza mcmu tu mkuu
 
Nilikuwa na uhusiano na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 lakini niliachana nae baada ya kugundua ananisaliti baada ya yeye kukiri kunisaliti kiukweli niliumia sana ila niliamua kumwacha maana alionyesha kuendelea na jamaa ingawa baada ya miezi 2 waliachana.Katika uhusiano wetu nilishamvisha pete ya uchumba na kwao walikuwa wananifahamu,kibaya wakati tunaachana nilimtumia meseji nikimwambia yeye ni malaya na hii ilitokana na hasira za kuumizwa na kiukweli najifahamu sio mtu wa matusi.Alichofanya ni kumwonyesha mama yake na ndugu zake kuwa ameachana na mimi kutokana na mimi kumtukana kila siku na kwao nikaonekana sio mstarabu,mama yake alinilaumu na hakuamini lolote nililomwambia.Tangu siku hiyo sikumtafuta na yeye hajanitafuta na sasa ni miezi 3 imepita hatujawasiliana na mimi sioni kama ni ustarabu lakini sitaki kumtafuta maana ataona najishusha sana kwake ila kibaya namkumbuka sana,naombeni ushauri wenu maana nishamzoea sana


JUWATA JAZZ BAND

Usiendekeze ee moyo unavyokutuma
Unadanganya
Jaribu Kushinda
Usiposhinda
Huna budi kuumia

Pambaf zako
Maaluni
Mbumbubu mzungu wa reli
Umekuwa mbwa unakula matapishi yako
HIyo ndo ilikuwa k yako ya kwanza
Hujawahi ona wanawake tangu uzaliwe

Maaluni mkubwa

Bazazi
 
Back
Top Bottom