Sikuachana nae vizuri

Sikuachana nae vizuri

Acha swagger za ki-looser mtoto wa kiume haendeshwi na hisia...hizo waachie akina dada..mwanaume tumia logic...hajakutafuta maana hana time cha msingi tafuta manzi mwingine...utamsahau tu huyo...kwani shing ngapi?? Banah...Over..!!
 
Dah watu na viatu!unataka upige cha mwisho usepe urudishe faida?Mumwage huyo atakupotezea muda!
 
pole sana, umenikumbusha wimbp wa bongo fleva unaoimba nidanganye danganye tu.
 
..ila "goodbye sex is sweet" lols..
 
We dogo wanawake mamilioni wako duniani why unadeal na mmoja tu? Ina maana hukuwa na emergence parking aka spare tyre? Vijana wa siku izi bure kbs, mwanaume hajipingi. Mimi niliachana na she wangu after 8 yrs of serious bond na toka niachane nae sijawahi msaka for good..acha uzombie wewe
 
Kuna watu mna maamuzi ya ajabu kweli.. Yaani demu kakusaliti huku umemvalisha pete alafu unamfikiria..!? Au ni mdhaifu sana na yy analijua hilo man up mkuu
 
mpumbafu hulilia matatizo,mpumbali hupenda shida,mpumbafu hujali jinsi nafsi yake inavyomtuma hata kama ni kwatendo baya,mpumbafu hufkiria mabaya yasiokuwa na faida.mpumbafu hajiamini kwa jambo atendalo.amekusaliti umefaham eti unampenda?dah!huoni kuwa wajitafutia kifo kama huko alipo kanasa?hlo umeshalifkiria?akikusaliti ukafaham no discussion its red card forever hata mbwa anapojeruhiwa harudi mahali pale so iweje umpende m2 mjinga,-----,mwenyekujirahisisha na asiodhamini penzi lako?pole nahic utakuwa na tatizo.bt bnafsi ukizngia forever huishi ktk nafsi yangu
 
Acha UZOMBI DUME! Hajakutafuta it means haupo moyoni mwake kabisaaas kabisaaaa. Usilazimishe penzi utachunwa.

dah! Umenena vizr sana. Yaan wanaume wengne sijui wakoje? Kwann ulikuwa unabip kujifanya humtaki kumbe bado unapenda?? Nenda kampigie magot kumwomba msamaha ujue kibur na dharau yake
 
Mahaba niteketeze mie ukanitupe mabepwande.

Jamaa anajitoa mhanga kabisa,apa nahis uzoba unahucka m nackiaga tu mtu amfuma live mpenz wke akigegedwa afu kesho yake et wako pamoja hadharan mabusu na i love u kibaooo,nahis mioyo ya chuma n kwel ipo
 
Kuna watu mna maamuzi ya ajabu kweli.. Yaani demu kakusaliti huku umemvalisha pete alafu unamfikiria..!? Au ni mdhaifu sana na yy analijua hilo man up mkuu

mkuu hata mm nashangaa! Halafu siku ataanza kulalamika et mke wang ananidharau kumbe ni ujinga wake mwenyew
 
Umenikumbusha enzi zangu nilikuwa na demu akaleta ujuaje wake tukazinguana kumbe alikuwa ananitest mbona alikoma kuringa.
mytake acha kujishushia hadhi ya kiume kaka coz akijua atakunyanyasa mbaya na ww pia ctakuwa hazitoshi mtu keshagegedwa na ww umejua sa unahitaji nn zaid. Achana nae kama huwezi kutongoza ni pm nikupe no za malaya Akusaulishe machungu. teh!
 
Wazee wa mahaba nimalize hao,we mizigo yakutosha unahangailia msaliti shem on u.
 
Huyu anschotafutwa kuchunwa hakuna kingine.
Yaani umepotezewa miez miwili bila kutafutwa then unatakaje? Eti uachane nae vzr ili iweje? Aliyekwambua kuna kuachana vzr nani?
Mtafute ila ucje unalia hapa
 
Zivu za mbupu zilinyolewa zikiwa zimewekwa kwenye kisosi au umelambwa0713 mtoto wa kiume hzo zaman sikuhz jipe thaman yako kwanza truelove exist only in movies
 
Yapasa kufikiri kabla ya kutenda, mtafute tu kama bado wamuitaji kama humuitaji mwache aendelee na maisha yake.
 
Back
Top Bottom