Baby M
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 1,037
- 415
pole sana, umenikumbusha wimbp wa bongo fleva unaoimba nidanganye danganye tu.
ukinambia ukweli nitaumiaaaa...."with my diamond platinum's tone"
pole sana, umenikumbusha wimbp wa bongo fleva unaoimba nidanganye danganye tu.
We dogo wanawake mamilioni wako duniani why unadeal na mmoja tu? Ina maana hukuwa na emergence parking aka spare tyre? Vijana wa siku izi bure kbs, mwanaume hajipingi. Mimi niliachana na she wangu after 8 yrs of serious bond na toka niachane nae sijawahi msaka for good..acha uzombie wewe
Haya mambo ya kumiss miss maex hata sio ishuni kawaida sanah kumkumbuka na 7bu mazoea yalikuwepo lazma utammiss sanah till umsahau.....
Nilikuwa na uhusiano na mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 lakini niliachana nae baada ya kugundua ananisaliti baada ya yeye kukiri kunisaliti kiukweli niliumia sana ila niliamua kumwacha maana alionyesha kuendelea na jamaa ingawa baada ya miezi 2 waliachana.Katika uhusiano wetu nilishamvisha pete ya uchumba na kwao walikuwa wananifahamu,kibaya wakati tunaachana nilimtumia meseji nikimwambia yeye ni malaya na hii ilitokana na hasira za kuumizwa na kiukweli najifahamu sio mtu wa matusi.Alichofanya ni kumwonyesha mama yake na ndugu zake kuwa ameachana na mimi kutokana na mimi kumtukana kila siku na kwao nikaonekana sio mstarabu,mama yake alinilaumu na hakuamini lolote nililomwambia.Tangu siku hiyo sikumtafuta na yeye hajanitafuta na sasa ni miezi 3 imepita hatujawasiliana na mimi sioni kama ni ustarabu lakini sitaki kumtafuta maana ataona najishusha sana kwake ila kibaya namkumbuka sana,naombeni ushauri wenu maana nishamzoea sana
naboeka hum hakuma button ya LIKE jmn... admin pliiiiiiiz... we acha tabia za kikuma embu tchaaaaaaa. unataka ukakute dume mwenzio chumban kwako naona wewe
oops sorry i withdraw my bad words.Jaman sa matusi tena yanini kwanini mnatudhalilisha wanawake hivyo kwann hamtaji viungo vyenu mnavisema wakati ndio vimewaleta duniani mnapata wapi ujasiri huo... sipendi sana watu wa aina hii!!!