mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 525
- 840
harusi yangu itakua ya kawaida sana...ntaalika watu wachache yaaani mi mwenyewe naweza nisije
harusi yangu itakua ya kawaida sana...ntaalika watu wachache yaaani mi mwenyewe naweza nisije
Hata hujui kama umeingia Jukwaa la Jokes. Sijui nani kavuta bhangi kati yenu?...Daaaa,, bado kuna mtu anasupport bangi ihalalishwe
Hapana, wewe sio mmewadadanguharusi yangu itakua ya kawaida sana...ntaalika watu wachache yaaani mi mwenyewe naweza nisije
mimi ndieHapana, wewe sio mmewadadangu
mgawanyo wa majukumu lazima uwepoDaaaa,, bado kuna mtu anasupport bangi ihalalishwe
Nakinukisha huo uchumba uvunjikemimi ndie
Nakinukisha huo uchumba uvunjike
Jidanganye, usije ukafe bure siku hiyo ya kuleta watu wako wachache kuja kuchukua jiko.....mimi tayari ni mme halali ambae wazazi wako wananitambua..
wala sio mchumba
Hata hujui kama umeingia Jukwaa la Jokes. Sijui nani kavuta bhangi kati yenu?...
Hata yeye kajibu kijokesAlievuta bangi Kati yetu naona ni wewe maana licha ya kujua ni jukwaa la jokes bado ume niriaktia namna hii, Mimi nimejibu jokes kwa jokes but wewe ndio umeingia mzima mzima bila kufikiria
harusi yangu itakua ya kawaida sana...ntaalika watu wachache yaaani mi mwenyewe naweza nisije
Hata yeye kajibu kijokes
Teh
😁 😁 😁 Kajifunze kwanza kuandika Kiswahili vizuri, au hii pia ni madhara ya bhangi? Soma posti #12 hapo juu ya baba swalehe kisha usome posti yako #14, utapata jibu ni nani aliyepaniki au kuvuta bhangi... 😁😁😁Alievuta bangi Kati yetu naona ni wewe maana licha ya kujua ni jukwaa la jokes bado ume niriaktia namna hii, Mimi nimejibu jokes kwa jokes but wewe ndio umeingia mzima mzima bila kufikiria
Kajifunze kwanza kuandika Kiswahili vizuri, au hii pia ni madhara ya bhangi? Soma posti #12 hapo juu ya baba swalehe kisha usome posti yako #14, utapata jibu ni nani aliyepaniki au kuvuta bhangi...
...
Kaazi kweli kweli!...Mbona unajitahidi sana kutafuta huruma kutoka kwa wanaume wenzio ndugu,, hauwezi Ku defend point yako bila ya Ku refer alichokisema Fulani??,, na suala la kujua ama kutokujua kuandika kiswahili nadhani ni juu yangu maana hata wewe unayejiona unakijua kiswahili sijawahi sikia umepata tuzo ya uandishi bora humu jukwaani zaidi ya ujuaji maandazi tu ulionao
Tatizo sio bangi kichwa chake kina mb mojaDaaaa,, bado kuna mtu anasupport bangi ihalalishwe