ilikuwa siku kama ya leo nikiwa njiani kutokea mjini , nikapokea simu kutoka nyumbani
home; dady kuna majambazi wanapiga risasi huku tunazisikia
mimi; ingieni ndani upesi hamuwezi kujua wataelekea wapi
baada ya dk 10
home; sio majambazi ni mabomu dady
mimi; tokeni ndani tafuteni mahari penye kama shimo jificheni msikae ndani
mara; samahani simu unayo piga kwa sasa haipatikani
ooh mungu wangu inamaana familia yangu yote imeteketea na hawa wanajeshi wamefunga njia itakuwaje sasa, anga linazidi kubadilika rangi , na idadi ya watu wanao kimbia wanazi kuongeza
hii ni siku ambayo mume alimsahau mume , watoto walilala uwanja wa taifa bil blanket wa godoro na msaada walio pewa ni maji na biskuti
ni siku ambayo wagonjwa na wazee walirudi katika ujana na kukimbia hadi sehemu mbalimbali za dar bila kupumzika
JE NDUGU ZANGU WA GONGO LA MBOTO MMEISAHAU SIKU HII TULIWAPOTEZA BAADHI YA NDUGU ZETU ?
JE MMESAHAU TULIOUNGULIWA NYUMBA
RIP NDUGU WOTE WALIO POTEZA MAISHA SIKU YA LEO
NI MWAKA MMOJA KAMILI TOKA SIKU ILE YA MAJONZI 26/FEB/2011
home; dady kuna majambazi wanapiga risasi huku tunazisikia
mimi; ingieni ndani upesi hamuwezi kujua wataelekea wapi
baada ya dk 10
home; sio majambazi ni mabomu dady
mimi; tokeni ndani tafuteni mahari penye kama shimo jificheni msikae ndani
mara; samahani simu unayo piga kwa sasa haipatikani
ooh mungu wangu inamaana familia yangu yote imeteketea na hawa wanajeshi wamefunga njia itakuwaje sasa, anga linazidi kubadilika rangi , na idadi ya watu wanao kimbia wanazi kuongeza
hii ni siku ambayo mume alimsahau mume , watoto walilala uwanja wa taifa bil blanket wa godoro na msaada walio pewa ni maji na biskuti
ni siku ambayo wagonjwa na wazee walirudi katika ujana na kukimbia hadi sehemu mbalimbali za dar bila kupumzika
JE NDUGU ZANGU WA GONGO LA MBOTO MMEISAHAU SIKU HII TULIWAPOTEZA BAADHI YA NDUGU ZETU ?
JE MMESAHAU TULIOUNGULIWA NYUMBA
RIP NDUGU WOTE WALIO POTEZA MAISHA SIKU YA LEO
NI MWAKA MMOJA KAMILI TOKA SIKU ILE YA MAJONZI 26/FEB/2011