Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
ndo hivo siku hizi kuna vitu vinaitwa pm inbox sijui nini![]()
![]()
Pole sana Mkuu lakin ndio maisha hayo.
ndo hivo siku hizi kuna vitu vinaitwa pm inbox sijui nini![]()
![]()
Pole sana Mkuu lakin ndio maisha hayo.
ahaaaa niliharisha week maana yale majani kumbe ni dawa ya kusafisha tumbo
dah wakati siku hizi mtongozo ni kama tangazo la coke kwenye TV,,.unakula tongozo upo kitandani mwako![]()
![]()
![]()
![]()
dah wakati siku hizi mtongozo ni kama tangazo la coke kwenye TV,,.
Wewe si chizi ii hahaha... hapa nikianza utatafuna keyboard hahakitu cha live nilikula majani uwanja mzima kama mbuzi
Mimi ni MeUlibakwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani ww ni Ke?
ahahaaa kipindi natongozwa ile ya ukweli kuna ule wimbo unaimba akicheka ana mwanya jamaa alikuwa anapenda sana kuniimbia .ila that guy was real man basi tu !Wewe si chizi ii hahaha... hapa nikianza utatafuna keyboard haha
Ilitokea nini by thenahahaaa kipindi natongozwa ile ya ukweli kuna ule wimbo unaimba akicheka ana mwanya jamaa alikuwa anapenda sana kuniimbia .ila that guy was real man basi tu !
ujana tu bnaIlitokea nini by then
Hahahahaha natumai umeolewa ssNilichimba hapo chini utafkiri nilikua nataka kupanda maharage.
Na wengi kweli unatupeleka hellujana tu bna
Nini wewe vunga.ulikubali
ebu ziweke hapa izo sound zako za kibwege tukuchekeJasho lilinitoka, kutetemeka nikawa nazungusha mada binti akawa mjanja akanibana niseme nilichomuitia, Moyo ulikuwa unadunda nahisi angetokea mtu anishitue pale ningekufa kabisa,
Bahati nzuri alikubali sound zangu japo zilikuwa za kibwege
basi mkuu ulikuwa unadinda kweli! kwenye izo shy moments za enzi izoNakumbuka ilikuwa mwaka 1979 mtoto wa kike kajaa kitaani kwetu kutoka Tanga namkumbuka kwa jina alikuwa anaitwa Penina duu! Alitaka kuchana suruali yangu upande wa paja tulikuwa tumekaa kilimani tunaongea weee mtoto ana aibu kama chui alikuwa anakata vijiti anakuwa kama anachora kwenye paja langu mara kama anaandika mara avitafune yaani nikikumbuka basi tu