Siku ya kwanza kununua Condom

Daah m nashukuru shoga angu wa karbu sana alikuwa anauza dukani kwake, hvyo nilikuwa cpati kaz. nilikuwa naenda nazichukua tu kwenye boks kisha nampa ela yake thn nasepa.. Ilikuwa simpo sn!!

Ulikuwa unanunua za kike au za kiume?
 
Nasemaga...oyaaa chifu eeee nipatie helment hata kama mtu shaz dukan
 
Mimi mpaka leo siwezi kununua Condom kukiwa na watu karibu. Na atakayeniuzia condom kama ni mdada nitamwonea aibu.

Nilienda kununua condoma dukan, jamaa aliekua wanauza akampigia cm boyfriend wangu eti naenda kugongwa.

Na niligongwa kweli.
Akasababisha tukaachana kweli.
 
dah ww jamaa humtakii mema mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…