Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Umenena vyemaBiashara sio kwa kila mtu! Mwingine hiyo pesa ataipeperusha asubuhi kabla jogoo hajawika.
Mtu anaweza kujenga nyumba yenye thamani kubwa lakini sio kwamba alikua na hiyo pesa yote kwa mara moja.
Kwa mfano huyu jamaa kajenga kwa miaka mitano, unaweza kukuta alianza kujenga akiwa na milioni moja au mbili.
Akajichanga kidogo kidogo tena akaendeleza hadi kuja kukamilisha. Usimlaumu sana ila wewe unaweza kuweka ushuhuda wako hapa kama ambavyo yeye ametuletea wake wa maamuzi ya kujenga.
kitu nakubaliana nawewe ni kwamba wengi wetu hatuna elimu ya uwekezaji/ Biashara.