Nawapenda nyote wanaJf! Hebu tutumie "our power of imagination": Hivi maisha yangekuwaje kama kila mmoja wetu angekuwa anaijua siku na saa atakayokufa?
Kuna hekima kubwa sana katika kuificha siku ya kufa maana dunia ingejaa vituko zaidi ya hapa. Anyway kwa mimi kujua siku ya kufa hainisaidii sana ila kinachoniumiza ni maisha baada ya kifo. Quaran inasema MwenyeziMungu hakutuumba ili tuje tufanye mchezo bali kumuabudu, bible nayo ikakoleza itamfaa nini mtu ikiwa ataupata ulimwengu wote na kisha kiwiliwili chake kikaenda katika moto wa jahanamu? Swali hili linanipa maswali mengi kama je NI KWELI NAFSI YANGU INAFANYA YAMPENDEZEYO MUNGU kiasi ambacho nikiambiwa nife leo nipo tayari na kunipinguzia hofu ya kifo?
Wajameni! Mwenye kumbukumbu na baadhi ya nyimbo ya yule marehemu Remmy Ongala aliyekuwa gwigi wa miziki enzi yake naona alimalizaga TOPIC hii na namwona Mzee wa Rula kakoleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.