Siku ya Kimataifa ya watu wenye ulemavu

Siku ya Kimataifa ya watu wenye ulemavu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) linaitumia siku ya Desemba 3 kama siku ya kimataifa ya Watu wenye Ulemavu

Siku hii iliazimiwa mwaka 1992 ikiwa ni siku ya kuangalia namna ya kuwawezesha walemavu na kuwashirikisha kwenye mambo ya kijamii

UNESCO imeandika katika ukurasa wake wa twitter kuwa ‘ Kuwa na Ulemavu sio kikwazo. Unahitaji kujiamini na kuziamini ndoto zako’

Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Audrey Azoulay ametoa wito kwa jamii zote kujumuika na kushirikiana na watu wenye ulemavu ili nao wachangie kizazi kipya chenye fursa mpya
 
Asante kwa taarifa
Watu wenye ulemavu tunaweza Sana endapo tukiwezeshwa tusaidieni tunapohitaji
Hamjafa hamjaumbika
 
Back
Top Bottom