Siku ya Kifo Changu


Kukishinda kifo ni Kutokufa. Tuoneshe hapa huyo aliyekishinda na je amewasaidiaje na wengine kukishinda?
 
THINK TWICE.
Au nasema uongo ndugu zangu??
 
Kufa ni lazima yani kkamamaji usipo yaoga utayanywa tu,hofu ni kutangulia tu ila asilimia kubwa wazee hawaogopi kifo ssana
 
Kukishinda kifo ni Kutokufa. Tuoneshe hapa huyo aliyekishinda na je amewasaidiaje na wengine kukishinda?
Kifo ni hatua katika maisha ya kiumbe hai. Hata miti inakufa, Kwa hiyo hauwezi kukishinda kwa kutokufa ila ni kujua hatua gani ufanye uweze kujiandaa nacho. Sidhani kama wewe uko tayari kupokea majibu tutayokupa.
 
Kifo ni hatua katika maisha ya kiumbe hai. Hata miti inakufa, Kwa hiyo hauwezi kukishinda kwa kutokufa ila ni kujua hatua gani ufanye uweze kujiandaa nacho. Sidhani kama wewe uko tayari kupokea majibu tutayokupa.

Usidhani. Toa tu hayo majibu.

Suala la kupokea libaki kwa muhusika
 
Kufa ni lazima yani kkamamaji usipo yaoga utayanywa tu,hofu ni kutangulia tu ila asilimia kubwa wazee hawaogopi kifo ssana

Wazee hawaogopi kifo Sababu wqmeshakiishi.
 
Huu uzi wakipumbafu sana. Sijui nimeufungua wanini
 
Hahahaaa nicheke mie.
Kwahiyo Watanzania hawajui 'Kiinglishi'?
Huenda, ila chako wewe mkuu kwa heshima zote ni-cha kutudhalilisha kabisa 😉

Hiyo mikazo:
1. Si nia wala dhumuni langu kujishindanisha, si wewe tu bali hata yeyote yule mwingine, haina Tija kwangu.
Hoja yangu umetaka kulisha watu Matngo pori, tumekustukia na huna chakujitetea.

2. 'you....'? Mwalimu gani anafundisha ujinga huu? Hapana huu ni uzembe wa mwanafunzi. Hili ni somo la muandiko darasa la Tatu.

3.'Tongue' ? Hapa? Kweli? Otateee naneeee! Ni hakika kuwa hujui maana yake vinginevyo, usingekurubia hata kuliandika hilo neno, pole.

4.'Kindly, kisha 'Should' katika muktadha mmoja? Kweli?
Hujui kutofautisha kati ya kuomba ihsani na kushurutisha? Msomiiii!!

5. Hilo Tusi haliniunguzi kwakuwa Nia yangu ni njema ya kuokoa kizazi kinachodhani kinajua kumbe hakijui.

Hunijui, usilazimishe kunijua haitakusaidia chochote itoshe tu unishukuru hata chemba kuwa nakusaidia Msomi.
Nikutoe wasi mimi si msomi lakini ninapoona Msomi 'unabananga' inaniuma na hasa ukizingatia mitandao inasomwa na wengi kwahivyo ukijinadi wewe ni msomi na unajua sana lakini unadhihirisha mapungufu ya wazi haitii aibu tu inachefua vilevile.
 

None sense
 

Convert haya yote uliyoandika kwa kingereza.

Mamluki unatabu wewe .kama unajua English , ni rahisi tu, fanya mawasiliano yako hapa kwa kingereza, vinginevyo Wewe ni mamluki. Kama unaogopa hata kuchat kwa kingereza ili tujue hiyo english yako ni level gani , sasa unatoa wapi balls za kuona kilichoandikwa si sahihi.

Ukijibu sasa hivi jibu kwa kingereza, Vinginevyo kaa kimya maana hujui English ni fault findings za watu wasio jua English. Mimi nina hakika 100 nikisoma tu hata kiswahili chako wewe hujui english, na kama kweli unajua, onesha mfano hapa walau ku comment kwa kingereza ili tufunge Hii mada Mr dalali
 
Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu
Rejea vitabu vitakatifu mfano mzuri ni Biblia
Soma Mwanzo sura ya pili yote then utapata majibu.
Kama kuna swali uliza.

 
Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu
Rejea vitabu vitakatifu mfano mzuri ni Biblia
Soma Mwanzo sura ya pili yote then utapata majibu.
Kama kuna swali uliza.
Kifo ni kitu cha kawaida hakina uhusiano na dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…