bado nipo ndugu yangu.Na log offnaona bado upo hapa.
Sasa ulitegemea wapate vya bure?Na bado njaa itawauwa.Hizo ndo siasa za bongo za kila mto atalijali tumbo lake sorry atabeba mzigo wake mwenyewe///Anakula bata vijana wa Stone Town ambako ni Ngome ya CUF wapo wapo tu hawana mbele wala nyuma...