we gule
Senior Member
- Jun 30, 2012
- 136
- 18
Ndugu wanahabari wenzangu nakuja na pendekezo siku ya tarehe 2.9 ya kila mwaka iwe ni kumbukumbu ya marehemu DAVID MWANGOSI yaani SIKU YA HABARI YA DAVID MWANGOSI kwa siku hiyo waandishi wa habari kufanya yafuatayo:
1.Tafakari ya changamoto zinazo wakabili waandishi wa habari Tanzania.
2.Mafanikio yaliyofikiwa.
3.Nini kifanyike kuondoa changamoto zilizo jitokeza.
Naomba kuwasilisha.
1.Tafakari ya changamoto zinazo wakabili waandishi wa habari Tanzania.
2.Mafanikio yaliyofikiwa.
3.Nini kifanyike kuondoa changamoto zilizo jitokeza.
Naomba kuwasilisha.