Siku ya Alhamisi ndiyo siku muhimu zaidi kwa Rais Magufuli katika matukio ya kiuongozi

Hahaha sielewi kwanini watu wanatafuta mchawi wakati mchawi ni wenyewe
Ni kweli tunatafuta mchawi wakati mchawi ni sisi wenyewe. Tumekosa heshima kwa taratibu na sheria - sijui labda nis sababu ya ujinga au nini. Inakuwaje chombo kimejaa pomoni mtu bado unalzimishs kupanda kana kwamba usiposafiri utakufa. Tuanzie hap kwanza - hat kwenye mabasi ya dala dala kwa mfano basi limejaa utakuta mtu anakubali kusukumizwa na kukandamizwa kama magunia kwenye basi na anaridhika bila kufikiria habari ya usalama wake.
Hali hii inaendelea hadi kwa wanaotakiwa kusimamia taratibu kwani nao ni sehemu ya jamii yetu. Nakumbuka miaka tuna TACOSHILI kwa watakaokumbuka kuna wakati ilibidi serikali ihamie bandarin kumbembeleza nahodha wa meli - enzi hizo MV Mtwara - aliyekataa kusafirisha wanafunzi wengi kupita uwezo wa meli kwenda Mtwara enzi hizo usafiri wa barabara kwenda Mtwara ilikuwa ni sawa na kwend nchi za nje - siku tano au wiki mbili na wakati mwingine haikuwezekana kabisa.
Tuanze kelimishana mtu na jirani yake kuwa siku hazifanani, kama ulisafiri jana ukiwa umujibanza kwenye chombo kilichojaza kupita uwezo wake ni bahati tu ulifika salama.
 
Aliyeruhusu kivuko kuondoka hata kama ameenda shule hana busara . Gari likijaa sana tairi ni hatari kupasuka , kama unajua hilo ni kwa nini uondoe gari ?? No vision at all , arrest them immedeately
 
Uhuru ujio na mipaka utakuja kuwaathiri bure. Ushahidi hua haumaanishi kutaja jina la mhusika mmoja kwa moja bali kama unaonyesha viashiria vinavyomhusu mhusika.
Mmesahau Sheria ya Maudhui ya Mitandaoni, siyo?
Kuleta u-much know hauwezi kukusaidia, waacheni akina Mbowe na wanasiasa wengine watukane na kukashifu watakavyo kwani na wao wanakashifiwa. Sasa sisi anonymous tunapotaka kuwa level sawa na wanasiasa tunakosea sana maana hakuna anayetuhukumu kwa matendo yetu, so na wewe usipende kuweka allegations sensitive kama hizi, otherwise una uwezo wa kudhibitisha.
Elewa kuwa, hao jamaa watakapotutaka, hakuna cha JF humu itakayoweza kutuokoa waditufanye wanavyotaka.
 
Uhuru ujio na mipaka utakuja kuwaathiri bure. Ushahidi hua haumaanishi kutaja jina la mhusika mmoja kwa moja bali kama unaonyesha viashiria vinavyomhusu mhusika.
Mmesahau Sheria ya Maudhui ya Mitandaoni, siyo?
Kuleta u-much know hauwezi kukusaidia, waacheni akina Mbowe na wanasiasa wengine watukane na kukashifu watakavyo kwani na wao wanakashifiwa. Sasa sisi anonymous tunapotaka kuwa level sawa na wanasiasa tunakosea sana maana hakuna anayetuhukumu kwa matendo yetu, so na wewe usipende kuweka allegations sensitive kama hizi, otherwise una uwezo wa kudhibitisha.
Elewa kuwa, hao jamaa watakapotutaka, hakuna cha JF humu itakayoweza kutuokoa waditufanye wanavyotaka.
Wewe ndiye jiwe mwenyewe?
 
Back
Top Bottom