dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
- Thread starter
- #21
Mwambie mkuu.Wewe mkuu unafikiri leo ndio siku ya kwanza kuzidisha abiria?unaambiwa kulikua na mnada,au unataka kusema huo mnada umeanza jana?
Mwambie mkuu.Wewe mkuu unafikiri leo ndio siku ya kwanza kuzidisha abiria?unaambiwa kulikua na mnada,au unataka kusema huo mnada umeanza jana?
Nasubiri makala ya mwalimu kashashaKwako mwalimu kashasha
Aliapishwa Alhamisi, akateua waziri mkuu alhamisi, akaunda serikali alhamisi akaanza kutengua teuzi alhamisiMkaa-Hapa alikua na mv bukoba, jiwe na hii ya jana... Alafu kumbe alipishwa alhamisi? Coincidence?
Sasa kama watu walikaa kwa hamu wakisubiria albadili imkute aliyempiga lisu risasi, unategemea nnUwezo wa kivuko ni abiria 100 halafu alhamisi Kimezama kikiwa na abiria 400 halafu unatafuta mchawi...haya maajabu hayaishi AFRICA...
cc Kingunge, Sitta, Mzee MajutoPia akikutembelea kama uko hospitali au mzima ujitafakari
Hata inapopakiwa hii meli alipatembeleacc Kingunge, Sitta, Mzee Majuto
...WAS...Kwa calendar it is Thursday!!
Sasa ukiambiwa kwamba unatoa kashfa, dhihaka na uchochezi utakataa?
Hahaha sielewi kwanini watu wanatafuta mchawi wakati mchawi ni wenyewe
Richard acha kujishuku. Hana lolote baya alilozungumza bali ni mtazamo wako hasi.
Ilikuwa alhamis ndioLabda Alhamisi
Ni kweli, ana lengo zuri kabisa, ila namna ya uwasilishaji.
Hata huko darasani kuna wanaopata A, B, C nk. Sasa unashangaa hapa jukwaani mtu akiwasilisha kulingana na upeo wake? Huyo bwana ameongea jambo linalofikirisha, sasa hapo ni tafsiri yako tu.
Mambo ya Alhamisi hayoIlikuwa alhamis ndio
Wapi nimeongelea mambo ya kivuko? Nasikia jumatano kilivusha mtu zaidi ya 600 salama salmini. Ila mimi hayo ya kivuko hayanihusu.
Was to you is for me! I was looking at it right away!...WAS...