leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,589
- 2,140
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.