umemalizaAwe mwanaume.
We toa mimacho tu huku 0713 inaviziwa!
Nitamuuliza kama wanapotoa makafara ya watoto wachanga mafuta wanayatoa kwanza na kama wanayatoa wanayatumia kwa shuhuli gani.Hivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
Kwani mimi ni mwanamke??Awe mwanaume.
Kama ipi?Ntamwambia aache uongo na uzushi. Na thread za uongo
Mkuu ulifanikiwa?Hakuna kingine zaidi ya kumuonba 0713
Kama ni mpira hiyo inaitwa tikitaka. Yaani jamaa sipatii picha alivyoisoma hiyo post yako.Hakuna kingine zaidi ya kumuonba 0713
Namfahamu huyu mkuu. Watu wanajikwangukia tuu voucher za tigo. Yeye hutumia laini za 4G za chuo.We toa mimacho tu huku 0713 inaviziwa!
Jibu post ya #1 ya JimmyHivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
Anhaaa kumbeNamfahamu huyu mkuu. Watu wanajikwangukia tuu voucher za tigo. Yeye hutumia laini za 4G za chuo.
Yaani hapo alipoambiwa ataombwa muamala wa tigo Gusa marinda basi amefurahi Sana.
Eti basi amefurahiNamfahamu huyu mkuu. Watu wanajikwangukia tuu voucher za tigo. Yeye hutumia laini za 4G za chuo.
Yaani hapo alipoambiwa ataombwa muamala wa tigo Gusa marinda basi amefurahi Sana.
Ntakuja hapo Kinondoni kwenu ili nikuambie neno tamu sawa kipepeo cha masika.Anhaaa kumbe
ntamwambia akaze katika kitabu maana matatizo yake ya kitabu na maisha ya starehe yana mghalim sna inaelekeaHivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
Kwan na ww ni mtu maarufu? umekaa ukaamua ujianzishie uzi mm ata sijui nitakupa adhabu gani nilivyokua sikupendi.