Siku ukipata bahati ya kuonana na HR 666 utamwambiaje

Hivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
Nitamuuliza kama wanapotoa makafara ya watoto wachanga mafuta wanayatoa kwanza na kama wanayatoa wanayatumia kwa shuhuli gani.
 
Hivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
ntamwambia akaze katika kitabu maana matatizo yake ya kitabu na maisha ya starehe yana mghalim sna inaelekea
 
Back
Top Bottom