ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Uwizi ni kitendo ambacho inatokea unakifanya muda wowote na kuiba haichagui umri wala jinsia.Hata nyinyi greater thinkers hakuna ambaye hajawahi kudokoa. Maofisini huko tunaibiana kalamu, flash n.k na wengine ndo kabisa wanaiibia serikali kwa michongo.
Kwenye bar huko tunakokunywa kunywa tunaviziana sometimes barmaids wanatupiga ila na wenyewe wakijichanganya unashangaa anakurudishia chenji isiyo yako unapiga kimya.
Ebu kiri hapa jukwaani umewahi kuiba kitu gani baada ya kupitiwa na shetani pengine ulikuwa na shida ndio maana ulidokoa.
Kwenye bar huko tunakokunywa kunywa tunaviziana sometimes barmaids wanatupiga ila na wenyewe wakijichanganya unashangaa anakurudishia chenji isiyo yako unapiga kimya.
Ebu kiri hapa jukwaani umewahi kuiba kitu gani baada ya kupitiwa na shetani pengine ulikuwa na shida ndio maana ulidokoa.