utoto kama upi mkuu?Aache utoto na ujuaji mwingi
Usijali swahima, kwa maana kizuri mtu hula na nduguye.Na mimi pia mkuu
HR 666 njoo utoe Tigo hukuHakuna kingine zaidi ya kumuonba 0713
Happy birthday mzeeUsijali swahima, kwa maana kizuri mtu hula na nduguye.
Hahahaha... dah!!Happy birthday mzee
Jitafakari na ujiulize kwa nini kauli kama hiyo imetoka pia jiulize kila comment ya mtu kwa nini amekujibuutoto kama upi mkuu?
...... AiseeeeHakuna kingine zaidi ya kumuonba 0713
jibu zuri kwa maswali ya kipumbavu kama haya
Hapana sio mimiOhhoooo.......
Kumbe ndie huyu alietajwa kwenye ule uzi...
..ntamuuliza vp shunnie .,.scopio me.., miss natafuta na ladies wengineo vp imesha wala papuchi!??Hivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
Ha ha ha..ntamuuliza vp shunnie .,.scopio me.., miss natafuta na ladies wengineo vp imesha wala papuchi!??
HehehhehehehehheHa ha ha
Majanga yapi hayo tena mkuu HR 666 yamekuthibu?SIO KWEMA NINA MAJANGA YAMENISIBU NDUGU YANGU
Usijali swahima, kwa maana kizuri mtu hula na nduguye.