Siku PM zikiongea

based ona imagination.

Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?

Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.

hebu ni PM tuone
 
based ona imagination.

Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?

Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.

mimi ningependa za:
1. Kibweka.
2. Kimpanga ampiga mkoloni.
3. Funza dume.
 
nimetuma wakusalimie,barua pia nimetumaaa usoome.Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…