Siku nne tu!

weka wazi wewe, kama mhitaji hutaki kuficha ficha. inavyooneka wewe husomi chuo au umeshamaliza unafanya kitu kingine kama cpa hivi, maana deadline yake ndo imeshafika. sasa wapi na wapi habari ya kulipiaitihani kamasio hizo profssionals? be open kaka zako tukupe mawazo
 

mmmmh dogo unafanya QT sio? isije ukawa ni shemeji yangu umetoka hapa mchana wakati tunacheki mechi ya Chelsea na Liverpool? maana una tatizo kama hilo na jina lako halisi ni kama la avatar yako? je ni wewe?
 
uko shule gani nije mwenyewe nimuone mhasibu maana vijana siku hizi hamuaminiki
 
Mdogo wangu ulivyoandika utafikiri kila mtu yuko aware na tatizo lako. Toa detail zinazoeleweka usaidiwe. Kuna watu wako tayari kukusaidia lakini watakuamini je?
 
Last edited by a moderator:

Kijana muda mrefu tulikwambia tuma acc ya shule jina na reg number ukakimbia...

Mwingine alijitolea mwende nae mguu kwa mguu shuleni ulikwepa Leo unaleta story zimebaki siku NNE wacha ubabaishaji wewe
 

Huyu ana reseat mtihani wa form four. Hiyo hela anayosema ndiyo ada ya kurudia mtihani wa form four. Sema inaonekana kijana mwenyewe ni bishoo ndo maana hataki kusema openly
 
Kijana muda mrefu tulikwambia tuma acc ya shule jina na reg number ukakimbia...

Mwingine alijitolea mwende nae mguu kwa mguu shuleni ulikwepa Leo unaleta story zimebaki siku NNE wacha ubabaishaji wewe

Huyu anasoma zile shulee za miaka miwili unamalizaa form four yaan hiyo pesa ya mtihani inalipiwaaa postaa sio kwenye akaunt ya shulee,binamu hebu mpe dogo hiyo 30 naamin hadanganyiii kwa pesaa hiyooo
 

Umeonaaa eee wale wotee wanaoolezeaa humu kua wana uwezoo tuwaonee sasaa maanaa siku hiyo waliwanangaaa diasporaa kweliii lol leo tuoneee na hajaomba malaki wala mamilionii
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…