Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,806
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Pole sana nimecheka story yako inanikumbusha mtu mmoja miaka ya tisini alikuwa analewa pombe akirudi nyumbani mlango anafunguliwa na mke wake hafu jamaa anamkubatia mke mabusu nk, sikuyasiku kagonga mama mkwe kaja kufungua sasa jamaa mazoea yale akamkumbatia na kumbusu mama mkwe, jamaa alivyoambiwa asubh yake alipotea nyumbani kama mwezi na akaacha pombe hadi LeoKuna day nimekula mtungi sana kuanzia mida ya asubuhi hivi saa nne. Nililewa sana asee kiasi kwamba mpaka saa tisa hivi alasiri nilifanya kubebwa nipelekwe home.
Nikaingia chumbani nikavua nguo zote nikalala, mida ya saa 12 jioni mkojo umebana nikasema ngoja nitoke nje nikakojoe.. Ile natoka na wenge langu uchi wa mnyama kumbe watu wamekaa nje bi mkubwa na mashangazi walikimbia ghafla sikuona mtu nilirudi ndani kwa aibu hata mkojo sikuusikia tena.
Niliona aibu sana nikawa nafanya kuamka asubuhi kabla ya wote nasepa kama week hivi. Nikaona bora nihame home tu nisije kuzua mengine. Nikakaa mda sana bila kula mtungi. Saivi nakunywa kistaarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ya kilaza....vilaza kuna wakati wanaotea....huyo alikuwa kiazi
Dah ww jamaa bonge la fala...nimecheka sana...Ilikuwa twende ukweni kutoa Mahali sasa kwa shy nikaona nile tungi la kutosha ili nisone shy daa si nikazidisha ikabidi msindikizaji wangu anishauri nile ndizi mbivu ili harufu itoke si unajua Serengeti ilivyo.Nikanunua ndizi nikaona mbona bado si akashauri ninunue packet ya maziwa Lato fresh milk ninywe kukata kilevi aisee kumbe nimeharibu tumbo likaanza kuunguruma gesi tumboni ikajaa mida ikafika mezani tukakaa mezani aisee Shuzi si likanitoka tena la sauti kama talumbeta kubwa aisee nilitamani kipindi cha kukabidhiana mahali kiishe mapema aisee.NIMEJAMBA MBELE ZA WAKWE
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana, yani laki na themanini tu ukaona dunia yote ni yakoNilikuwa nimejiwekea ahadi siku nikipata kazi ntalewa pombe mpaka wanibebe.Mungu si Athumani nikapata ajira ya muda kwenye mradi fulani.Siku niliyopokea mshahara straight to masanga/ulabu.Kasheshe niliporudi home kwanza niiilimba sana kuanzia nyimbo za primary mpaka sekondari,niliamsha familia nzima nikaanza kutoa ushauri kuhusu ujasiriamali,mahusiano ,dini ,siasa kwa wanafamilia usiku wa manane .Mwisho nikawatukana nikawaambia mafala nyie,wajinga wakubwa nani anaweza kutengeneza Millioni kwa siku? Nikawamwagia vihela pale nikaenda kulala.Kesho baada ya kupewa mrejesho nilitamani ardhi ipasuke nidumbukie,nikawa mtu wa kutoka alfajiri kurud usiku mnene.Mshahara wenyewe ulikuwa hauzidi laki na 80 .Mwisho mama aliniambia acha pombe huziwezi.
Hahahha acha utani wewe,Bora ya kilaza....vilaza kuna wakati wanaotea....huyo alikuwa kiazi
Kuna day nimekula mtungi sana kuanzia mida ya asubuhi hivi saa nne. Nililewa sana asee kiasi kwamba mpaka saa tisa hivi alasiri nilifanya kubebwa nipelekwe home.
Nikaingia chumbani nikavua nguo zote nikalala, mida ya saa 12 jioni mkojo umebana nikasema ngoja nitoke nje nikakojoe.. Ile natoka na wenge langu uchi wa mnyama kumbe watu wamekaa nje bi mkubwa na mashangazi walikimbia ghafla sikuona mtu nilirudi ndani kwa aibu hata mkojo sikuusikia tena.
Niliona aibu sana nikawa nafanya kuamka asubuhi kabla ya wote nasepa kama week hivi. Nikaona bora nihame home tu nisije kuzua mengine. Nikakaa mda sana bila kula mtungi. Saivi nakunywa kistaarabu
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
🙈🙈🙈
Duuh aisee nahisii ulihisiii kufa kufaaaaSitosahau siku nilimwingiza Mwanamke room kwangu nile mzigo ambapo ili nifike room kwangu lazima nipite coridor ya kwa Mama. Ebana nikategea Mama kaondoka mtoto akazama ndani kama kawaida yangu sijawahi kuacha viatu nje hata siku moja nikiwa kula papuchi.
Nimekula papuchi nimemaliza nashika simu nakuta missed call 12 za Mama hapa nliisi kufa nikaingia bath room uzuri ilikua ni ndani kwa ndani nikanawa uso maana niliambiwa eti ukila mzigo jicho linakua jekundu kama nyanyaa[emoji1]
Nikampigia Mama akanambia nipo nje hapa maini yalivurugika sana tumboni nikafungua mlango akanangalia kwa asira sana machoni akanambia umekula chakula Kwa ukali, nikajibu nilikua nimelala . Ebana akanambia nenda shop kanchukulie vocha nlivoenda narudi nakuta mama na binti wako room kwangu nliona aibu sana binti alilia sana.
Ila mama aliyamaliza kwa ushauri mzito mno! Now days siishi kwa mama naendaga kumsalimia tu. Mtoto kwa mama akui
Haa ha ha balaa hilooDaah utoto bana, kipindi nipo form 4, nilikuwa nimechukua rafiki zangu wawili tumeeka kambi home, nilikiwa ninaishi na bibi yangu, wazee wapo dar.
hiyo siku bibi akaniaga anaenda marangu, atarudi kesho yake nimebaki na beki tatu na wanangu tukaingia pub alberto, nikarudi na demu tukajisevia, cha ajabu wote tulikuja kushtuka saa 6 mchana tumechoka, demu mwenyewe alikuwa amevaa nguo za hovyo na nnasikia sauti bibi amerudi na yupo na bro wake wanaongea sitting rum, demu kakurupuka anataka kuondoka haelewi na njia pekee ni kupita sebuleni, na kwa zile kelele bibi akajua huku kuna mtu wa ziada akaanza kuniita...nikatoka akauliza nipo na nani nikamwambia mwanafunz mwenzangu jana tulikuwa tunasoma, bana akaniambia muitee...hapo ndipo nilitamani niwe ndotoni namletaje yule malaya na anaishi mitaa ile ile nikaona nizame chumbani kwake kwenye kabati chini kabisa nikavuta kanga nikampelekea demu avae, tukatoka
ha ha kumbe zile kanga za bibi ni za TANU 1961, bibi kapanic kauliza hii kanga ya nani, nikamwambia yake kaja nayo, hapo ndipo nilipomkorofisha zaiidi, kanyanyua simu kapiga kwa mshua, hata wiki haijapita na nyumbani nikahamishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale hali huwa tete... juzi kati tu hapa nimetoka kupewa maji walivoona nimepanic.Hahaa, kumbe ukiwa katikati ya Wale panel members Hali huwa nzito almost Kwa kila mtu
Hahaaa, mi nikajua ni hali iliyo nikuta Mimi pekeePale hali huwa tete... juzi kati tu hapa nimetoka kupewa maji walivoona nimepanic.
Mimi ilinitokea practical ya physics advance. Ilikuwa balaaa ndani ya chumba cha mtiani. Jasho lilinitililika kama maji.Ilinitokea hiyo o level kny paper ya kemia ya practical ktk mtihani wa necta,sikufanya kitu kwa kweli,na hiyo ndio ilipelekea nisipate div one,nikaishia kupata div two ya kwanza,hata hivyo namshukuru mungu sikupata F kemia bali D,inaonekana paper ya theory ndiyo iliyonibeba
Either ulilogwa au unatudanganyaEe bhana eeh hapa duniani huwaga kuna nyakati ngumu sana ambapo unaweza tamani kiama kitokee utoweke kuliko fedhedha au hali flani ya aibu na maumivu yanayokukuta .
Leo nimekumbuka tukio moja ambalo siwezi lisahau maisha yangu yote ,nilikuwa advance enzi hizo miaka kadhaa ilopita ticha wa kemia akasema kutakuwa na test(Physical chemistry) test enyewe ni swali moja tu la calculation na mfano wa hilo swali tushafanya na nimeelewa vizuri tu ,basi buana siku kaa mbili hivi kila mtu anajiandaa .
siku ya mtihani ikafika swali likaja lile lile hadi data hazijabadilika lina marks 25 na lipo moja tu,tukagawiwa karatasi tukapewa dakika tano tusome swali ,nilipoliona swali nikafurahi pia mana naona kabisa 25 yote nachukuwa ha ha
Nikachukua karatasi nikaandika jina ile nashika tu peni nianze kuandika data ,akili ikafuta kila kitu hata kucollect data siwezi yani sielewi ,nikawa najaribu nikumbuke basi hata fomula itanisaidia kucollect data nikashindwa pia kukumbuka fomula ,kumbuka hilo swali nalijua na nimelisoma vilivyo.
Dah nikawa naangalia pembeni je wenzangu wanafanya? kiukweli darasa nzima kila mtu alikuwa bize kukokotoa isipokuwa mimi tu.
Teacher anapita anaangalia jinsi watu wanafanya naona anapita kwangu mimi nimeandika tu jina huku zishatangazwa zimebaki dk 15 tu time iishe.
Nikainama juu ya dawati nikawa nasali Mungu anikumbushe kanuni ,kiukweli sikukumbuka ,nikakemea pepo la usahaulifu wapi mwisho wa siku nikabadili maombi ,nikawa natamani litokee janga lolote tetemeko au kiama woote tutoweke tu kuliko vile majibu yanavyoenda kuwa mimi nina 0/25 wenzangu wooote wana 25/25
Maombi hayo pia Mungu akuyajibu ,nikasikia pens down ,tukakusanya mimi nimeandika jina tu.
Kila mtu anafuraha vicheko na kumshukuru teacher kwa ile feva ,ilibidi niende tu bwenini kulala
Majibu yalitoka robo tatu ya darasa ilipata 25/25 mimi nikapata 2/25 hizo 2 niliwekewa tu kama zawadi ya kuandika jina na kuaribu karatasi ha ha.
Kitu gani kimewahi kukupata kama mimi???
#TIRIRIKA
#TUNATOKAMBALI
Sent using Jamii Forums mobile app
Eksheni kama hii ilinitokea nikiwa nasoma chuo halafu naishi kwa sista na nashea rum moja na wajomba hahaaaaaaSitosahau siku nilimwingiza Mwanamke room kwangu nile mzigo ambapo ili nifike room kwangu lazima nipite coridor ya kwa Mama. Ebana nikategea Mama kaondoka mtoto akazama ndani kama kawaida yangu sijawahi kuacha viatu nje hata siku moja nikiwa kula papuchi.
Nimekula papuchi nimemaliza nashika simu nakuta missed call 12 za Mama hapa nliisi kufa nikaingia bath room uzuri ilikua ni ndani kwa ndani nikanawa uso maana niliambiwa eti ukila mzigo jicho linakua jekundu kama nyanyaa[emoji1]
Nikampigia Mama akanambia nipo nje hapa maini yalivurugika sana tumboni nikafungua mlango akanangalia kwa asira sana machoni akanambia umekula chakula Kwa ukali, nikajibu nilikua nimelala . Ebana akanambia nenda shop kanchukulie vocha nlivoenda narudi nakuta mama na binti wako room kwangu nliona aibu sana binti alilia sana.
Ila mama aliyamaliza kwa ushauri mzito mno! Now days siishi kwa mama naendaga kumsalimia tu. Mtoto kwa mama akui
Mimi ilinitokea practical ya physics advance. Ilikuwa balaaa ndani ya chumba cha mtiani. Jasho lilinitililika kama maji.
Haahaa sura gani hiyo mkuu uliisahau,ulikuwa unamungunya Maneno auMm juzi tu hp tulikuwa na dua nyumbani cc ni waislam ss sura zilikuwa nyingiiiii kila mmoja akapewa zke ww utasoma sura flani ziwe 40 yule atasoma sura flani ziwe 60 na kadhalika mm nilipewa sura nyepesiiiii na nnaijua hainisumbui hata kdg coz nilipita madrasa bc umefika muda wa kuanza kusoma bakhti nzr tunasoma kwa pamoja ila kila mmoja anasoma chake bc mm nikatembelea nyota zle sauti za wenzangu wanaosoma sikusoma hata sura moja yaani kila nikijaribu naishia "bismillahi" memory haiji kabsaaaaaa cjui ni nn huwa kinatokea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Izaa jaa ndg yng huwezi amini hadi nikajishangaa nna nn?Haahaa sura gani hiyo mkuu uliisahau,ulikuwa unamungunya Maneno au