FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,184
Kipofu haachi gongo lake, atarudi tu. Anataka aombwe namba za "babu".Harudi tena
Kipofu haachi gongo lake, atarudi tu. Anataka aombwe namba za "babu".Harudi tena
Hii inaitwa titi for tati siku zote njia muongo ni fupiUkiwa muongo uwe na kumbukumbu. Haya maneno ya nani...
"Babu yangu alikuwa amekwisha nifundishi mambo ya kufanya ninapohisi kuna mchawi."
Huku upo, lakini sharti lake kubwa ukatwe kichwa kwa msumeno wa mbao lakini haukufi.Hakuna uchawi wa kupenya kuingia Bank bila kuonekana,nikakombe mihela?.
Hakuwa mweusiAlikuwa mweusi??
Nilikuwa nimempa fundisho, ningekataa kumsamehe ingekuwa vita kali sana. Wana ushirikianoKwanini ulimtemea mate? Kwakuwa alikuwa anadhuru wasio na hatia je huoni kwakumuachia mchawi aendeleee kuroga nawewe Ni MMOJA Kati Yao?WAARABU WA PEMBA.............
Sijawahi kumiliki account JFKwahiyo hii stori ndio imefanya uje na ID mpya.
Sina uhusiano na mganga yoyote na wala sitangazi biasharaKipofu haachi gongo lake, atarudi tu. Anataka aombwe namba za "babu".
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Haya maneno ya nani...
"Babu yangu alikuwa amekwisha nifundishi mambo ya kufanya ninapohisi kuna mchawi."
Hongera kwa zawadi ya jogoo.Sina uhusiano na mganga yoyote na wala sitangazi biashara
Jogoo nilikulaHongera kwa zawadi ya jogoo.
Mkuu hebu tupe jibu la hili swala.Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Haya maneno ya nani...
"Babu yangu alikuwa amekwisha nifundishi mambo ya kufanya ninapohisi kuna mchawi."
Ili upate niniDuh mkuu njoo inbox unifundishe namna ya kukamata wachawi
Hahaahaha we jamaa utakua wa Madale weweIli dushelele lipenye bila ya kukwama