X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,660
- 12,224
Mchawi huwa agusi mlango acha Uongo
Ndio ilikuwa njia ya kumuondolea adhabu na kumsameheUkamtemea mate? Kisa?
Sitangazi biashara yoyote. Na wala mimi sio mganga na sina uhusiano na mganga yoyoteMengine ni matangazo ya biashara kiaina yake.
Wajinga ndiyo waliwao.
Sio chenga la macho. Kama umekulia mjini sio rahisi kuamini haya mamboMkuuu umetupiga changa la macho
Najipanga sana, sijabwetekaEndelea kujipanga hawa ni watu wa visasi
Nalog off
Sio masharti ya uchawi. Uchawi ni dini na ina miiko yakeHakuna uchawi wa kupenya kuingia Bank bila kuonekana,nikakombe mihela?.
Hapana. Mimi sio mganga na sina uhusiano hata namba ya mganga sinaMkuu,wwe ni mganga?
Hongera kwa kupewa zawadi ya jogoo.Sitangazi biashara yoyote. Na wala mimi sio mganga na sina uhusiano na mganga yoyote
Mapenzi yaliangamiza watu wengi sana.Mimi kwangu niliwakamata wachawi watatu wakike usiku
Nikawapa masharti
Nikawa nasex nao kila siku usiku wanapojisikia kuja
Nimefanikiwa kuzaa nao watoto watano mpaka sasa
Wananipenda sana
😂😂😂😂😂Hongera kwa kupewa zawadi ya jogoo.
Sio uchawi tu. Hata baba au mama yako akikulaani anspokusamehe lazima akutemee matenaona ni masharti ya kichawi usukumani
Angekuwa msichana sawa. Bibi hata organ imeisha kwishaSasa ulimpiga wa nini si ungemla tigo tu kama wakenya wanavyofanya.
Na kuku nikamlaKirahisi rahisi hivyo?
Ukapewa na kuku kabisa? Jogoo kabisa?
Sawa usiku mwema.
Ndugu yangu hicho ni kipawa cha kurithiwa hakifundishikiDuh mkuu njoo inbox unifundishe namna ya kukamata wachawi
Mengine ni matangazo ya biashara kiaina yake.
Wajinga ndiyo waliwao.
Na kuku nikamla
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Haya maneno ya nani...Ndugu yangu hicho ni kipawa cha kurithiwa hakifundishiki
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Haya maneno ya nani...
"Babu yangu alikuwa amekwisha nifundishi mambo ya kufanya ninapohisi kuna mchawi."