siku nikipanda ndege!

siku nikipanda ndege!

Mnanidharu kumbe wengine hamjawah panda!
 
mara paaaap.! unakufa mlangoni mwa ndege.
 
Itapendeza sana...

Usije ukasinzia tu... badala ya kushukia chato, utajikuta Mumbai...


Cc: mahondaw
 
Ushamba mzigo.

Yani mpaka leo hii kuna vijana ndoto yao ni kupanda ndege tu?? Aisee inasikitisha sana na kwa mwendo huu CCM itabaki madarakani kwa muda mrefu mno.
 
Kwani CCM kubaki madarakani muda mrefu ni shida mkuu?
Ushamba mzigo.

Yani mpaka leo hii kuna vijana ndoto yao ni kupanda ndege tu?? Aisee inasikitisha sana na kwa mwendo huu CCM itabaki madarakani kwa muda mrefu mno.
 
Back
Top Bottom