Muungano hauna dawa. Tupende tusipende utavunjika tu. There is no way this UNION will survive.
jitengeni mapema nani kawazueni ninyi kujitenga? huku Bungeni Dodoma mnakuja kufanya nini? Tanganyika mnatafuta nini? kaeni hukohuko mchambawima ili mjitenge vizuri. haka kababu kenu na familia yake kachukue mapema, hatukataki hapa Tanganyika.hizo chuki zenu ndio asili ya wazanzibari kudai nchi yao
Tutahakikisha A.H.Mwinyi & family yake wanaongoza msafara wa wazeNj wote kurudi kwao mchambawima.
J.K vunja muungano , hauna faida kwa Watanganyika.
Bado sana hili jambo kutokea.
Na mimi naisikia ikipiga kelele ko!, Ko!, ko, ..ko, ..ko!. Nasubiri hatma yake tu!Nasikia sauti ya mifupa ya Muungano!
tutahakikisha a.h.mwinyi & family yake wanaongoza msafara wa wazenj wote kurudi kwao mchambawima.
J.k vunja muungano , hauna faida kwa watanganyika.