J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,182
- 2,698
Maoni yangu ni kuwa huyo binti hamkumpenda jamaa. Sasa arudi kwenye umama lishe aanze kugongwa ovyo ovyo tena bure bure na masharobalo. Nawaambia atajuta sana baadae. Kama alipenda kwa nini hakufaulu wakati hivi sasa goli limepanuliwa la ufaulu. Huyo kijana atafute mke mwingine kuepuka usumbufu wa pilato.