Siku moja baada ya kuolewa, bibi harusi akimbia ndoa

Siku moja baada ya kuolewa, bibi harusi akimbia ndoa

Huyu binti inawezekana aliuona mguu wa mtoto kwa jamaa, na vle ni bado kuguswa akaona akahisi michano inafuatia.. Maana jamaa ana wembamba wa reli, nyama na mafuta yote yamekimbilia kati pale..
 
Sasa kosa liko wapi hapa,mtoto ana miaka 15 amemaliza shule darasa la saba,mtoto anahangaika na dunia kwa kuuza mama nitilie,katokea msamaria mwema anataka kumuoa ili amnusuru huyo mtoto wa kike...

Sasa wadau hebu nifahamisheni kosa liko wapi hapa..
 
Hebu anayemjua ampe namba yangu aje nimuhifadhi mpaka afikie 18 ndo aolewe,aje inbobo
 
Demu tu ndo kazingua ila Bwana Muddy alisharuhusu haya yote eti suna sijui. Anyway mi nimependa hapo tu jamaa alipotaka nimpe penzi.......
 
Huu ni ubakaji... Akamatwe huyo jamaa na wazazi wa huyo binti ambao ni accomplices wa huyo muhalifu wa kingono.
Mtu mwenyewe anaonekana ana grid ya taifa...
Hii hatari sana kwa mabinti zetu.
 
Aende kuolewa tu maana hajafaulu na anamsaidia mama yake kuuza chakula na tayari laki tisa za watu zimeliwa hamna namna otherwise aolewe mama kureplace hiyo pesa
Kweli. Kama hakuwa tayari ya nini kula hela yake? Kama alitaka mtaji wa biashara ilibidi asema maana hiyo inaweza tafsiliwa kuwa utapeli.
 
Mtoto mzuri na anaonekana keshakia mjanja. Ila kaka nae kakosa wakubwa wenzie mpake amgande mtoto msxhewwww
 
Mbona mikono ya huyo bint inaonesha ni mkubwa tu.
 
Jamaa inabidi kufidia garama zake laki 9 abebe mama wa mtoto kwani inaonekana hana mme na umri wake unakubalika kisheria amwache mtoto mpaka akue
 
Kweli. Kama hakuwa tayari ya nini kula hela yake? Kama alitaka mtaji wa biashara ilibidi asema maana hiyo inaweza tafsiliwa kuwa utapeli.


Hizo laki tisa ni gharama ya ndoa gauni na makorokocho mengine.
 
Kweli. Kama hakuwa tayari ya nini kula hela yake? Kama alitaka mtaji wa biashara ilibidi asema maana hiyo inaweza tafsiliwa kuwa utapeli.
Kweli kabisaaa maana hakuna mterezo
 
Mtume aliwapotosha sana wafuasi wake, 14 years???
Wewe sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inaruhusu huyo aolewe kama kuna idhini ya wazazi wake. Wala sheria ile haijasema muolewaji akubali au asikubali.kama wazazi wamekubali unataka akae mtaani ili ajazwe mimba na kutelekezwa? Mwanamke kwa umri wake huo anazaa vizur tu
 
Rais wala serikali hawana lao hapo.
Hakuna mwanafunzi, na kidini inakubaliwa kwa umri huona ushahidi wa umri chini ya huo umo vitabuni.
Tatizo ni huyo bwana hakujiandaa kama ilivyoelezwa na binti.
 
Apewe gharama zake....kama walikubaliana na familia apewe chake
 
Apewe gharama zake....kama walikubaliana na familia apewe chake
 
Back
Top Bottom