jinsia yako ili tuone tunakusev vipi nduguyetu?Jamani nimeshinda ndani naumwa nimepika ila sijakula vizuri naumwa wapendwa au mmeniloga nisitoke leo? All in all bado naumwa najisikia vibaya sana
Ongera diaTumepika, tumekula tukashiba ndiii
Balaa likaanza la vyombo
Alhamdullilah tukafanikiwa maliza kuosha.. Tukachill kwa kideo kuwacheck Anfield wakitikisa nyavu.
Hapa sahii niko Live na Wasafi, ila wanastuck mchaneli hauko clear. Mond anakwama.
Day well spent 😍
kwahiyo unaitwa Figo na umezaliwa 1976 au?Jaman which is fake?
Sema hongeraOngera dia
Ana figo 76kwahiyo unaitwa Figo na umezaliwa 1976 au?
mh mgonjwa jeuri wewe😅😅Sihitaji kuseviwa