manzuki
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 274
- 143
miiko ya viongozi wa staafu di yakuongeaongea hovyoUkiangalia vizuri utagundua JK kwenye siasa ni mbobezi na ndio maana hutamsikia akifungua mdomo ila vitendo utaviona muda si mrefu.
miiko ya viongozi wa staafu di yakuongeaongea hovyoUkiangalia vizuri utagundua JK kwenye siasa ni mbobezi na ndio maana hutamsikia akifungua mdomo ila vitendo utaviona muda si mrefu.
Nyie watu acheni mahaba nchi hii ilioza haswa kwani uongoTulishuhudia wakati wa kampeni mgombea akimponda kiongozi aliyekuwa madarakani.Tukajiuliza lakini tukaona inaweza ni mbinu wametengeneza ili kupata ushindi.
Ushindi umepatikana lakini kila siku awamu iliyopita inasimangwa,inapondwa na inakejeliwa wakati anayeponda alikuwa humo humo.Wanadiriki kusema "nchi ilioza" wakati walikuwa sehemu ya kilichosababisha uozo.
Kauli hizi zitavuka threshold value na wanaojua kusema wakiamua kusema nchi itasimama.
Mungu mpe busara la sivyo,mmh.
Ni kweli yeye ndiye rais, kwani tumebisha..??Hata msemeje, JK, hakufaa kuwa Rais, ukiniuliza mimi JK. kafanya nini ndani ya miaka 10 yake nitakuonesha UDOM tu na Rock City Mall ya Mwanza, sioni kitu kingine...
JK. alifanya vitu vyepesi mno, na muda mwingi akautumia ughaibuni, acheni ujinga...
Magufuli ndiye Rais, na namkubali kupita kiasi, nchi ilitakiwa ipate Rais kama huyu, manufaa ya uongozi wake wengine mtaanza kuyaona baadae...
ila najua wengine humu njaa ndo inawasumbua, fanyeni kazi acheni kuandika-andika humu haiwasaidii chochote....
Ilioza sehemu gani? Na kama ilioza, ulihimilije kukaa ndani ya uozo? Unajikanganya na kujichanganya kwa kuamini nchi ilioza ilihali ninyi ni mazao ya uozo huo kwani hata mavazi uliyovaa sasa ulinunua ndani ya uozo ule. Kuwa mkweli kama tangu 2015 umemudu kununua hata boxer au hata v.i.p na sox jozi moja?Nyie watu acheni mahaba nchi hii ilioza haswa kwani uongo
Ilioza sehemu gani? Na kama ilioza, ulihimilije kukaa ndani ya uozo? Unajikanganya na kujichanganya kwa kuamini nchi ilioza ilihali ninyi ni mazao ya uozo huo kwani hata mavazi uliyovaa sasa ulinunua ndani ya uozo ule. Kuwa mkweli kama tangu 2015 umemudu kununua hata boxer au bata v.i.p na sox jozi moja?Nyie watu acheni mahaba nchi hii ilioza haswa kwani uongo
Hapana! Nchi italala kifo cha mendeTulishuhudia wakati wa kampeni mgombea akimponda kiongozi aliyekuwa madarakani.Tukajiuliza lakini tukaona inaweza ni mbinu wametengeneza ili kupata ushindi.
Ushindi umepatikana lakini kila siku awamu iliyopita inasimangwa,inapondwa na inakejeliwa wakati anayeponda alikuwa humo humo.Wanadiriki kusema "nchi ilioza" wakati walikuwa sehemu ya kilichosababisha uozo.
Kauli hizi zitavuka threshold value na wanaojua kusema wakiamua kusema nchi itasimama.
Mungu mpe busara la sivyo,mmh.
But not that much I say! This is too much kabisa. Hata kama mkono ukubebao waweza kuunyea lakini si kwa jinsi hii. Wanasihi sina uhakika kama mnamsaidia huyu mkubwa kupunguza jazba kwani hata message zake watu wanashindwa kuzideliver na yeye kukosa feedback!Hao ni watani!!