Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,152
Heri mimi sijasema!!........Maana nikisema Waberoya msije kuniambia ni name calling!yule jamaa mwenye avata ya miwani.
anampenda zito kuliko chadema.
Heri mimi sijasema!!........Maana nikisema Waberoya msije kuniambia ni name calling!yule jamaa mwenye avata ya miwani.
anampenda zito kuliko chadema.
Malaria sugu ni marehemu pamoja na barubaru,walienda pemba wakapata ajali ya majini.
Tujulishwe mkuu Kama ha MODS uliowataja wako kwenye payroll ya Chadema, itaturahishia kazi.