Siku hizi simwambii mke wangu asante kwa chakula

mmmm Balaa mwenyezi mungu atunusuru mimi na wanawake wenzangu,ndoa zinatafrani zake jamani,lakini hata kama unafanya kazi weekend unaweza ukapika na hata siku za kawaida unaweza kumwambia dada akutayarishie wewe ukifika una
changanya kwanza sikuizi sio kama zamani unapika na mikaa Gas unaivisha mara moja,unaweza kubiwa mume kwa vitu vidogo kama hivi halafu unatafuta mchawi..
Siku moja moja jamaa anaonja radha ya mikono yako.
 
mmmm Balaa mwenyezi mungu atunusuru mimi na wanawake wenzangu,ndoa zinatafrani zake jamani,lakini hata kama unafanya kazi weekend unaweza ukapika na hata siku za kawaida unaweza kumwambia dada akutayarishie wewe ukifika una
changanya kwanza sikuizi sio kama zamani unapika na mikaa Gas unaivisha mara moja,unaweza kubiwa mume kwa vitu vidogo kama hivi halafu unatafuta mchawi..
kabisa mkuu kupika mi naonaga ni hobby ya mtu maana kuna mwengine tu akitoka kazini changanya na uvivu ndo basi kapata kisingizio cha kuweka mguu juu ka mumewe .so kwa mtu anayependa kupika na usafi wa nyumba wala hutamwambia aache kachoka akuelewe atataka afanye maana anaenjoy.na wadada wengi tunaofanya kazi huu ni mtihani mkubwa najua lakini ukiwa unaonyesha jitihada hata mume atakuonea huruma .so tubadilike jamen.
 
Hii kauli imenishutua, nikauli kutoka kwa rafiki yangu ninayemfahamu kwa muda mrefu. Ndoa yao ina miaka 5 sasa na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike, kwa haraka haraka unaweza kuiona ndoa yao kama ni ndoa imara na yenye upendo mkubwa na kutamani kujifunza kutoka kwao.

Majuzi nilikutana na huyu rafiki yangu tulikuwa na maongezi ya kikazi, katika maongezi yetu tukawa tumeingiza mambo ya familia, ndipo nilishutushwa na kauli ya rafiki yangu "siku hizi simwambii mke wangu asante kwa chakula" nikamuuliza, kwa nini? "Tangu apate hii kazi aliyonayo sasa yapata miaka miwili sili chakula kilichopikwa kwa mikono yake angalau mara moja moja, kwa siku chache za mwanzoni alijitahidi lakini haikudumu kwa muda mrefu akaacha kabisa binti wa nyumbani akawa ndiyo muhusika kwa 100%.
Imenichukua muda mrefu kila nimalizapo kula chakula hasa umwambia mke wangu asante kwa chakula, kilikuwa ni kitamu.

Kwa sasa nimegundua kuwa ninachokifanya ni unafiki tu wa kumfurahisha mke wangu, huku nikiwa na manunguniko moyoni. Kwa sasa nikimaliza kula nasema asante aliyepika chakula, kilikuwa kitamu sana, naona hii kauli imemshutua na kumchanganya kidogo"
Nikamuuliza kwa nini anatumia njia hii badala ya kukaa naye wakaliongelea hili tatizo, akasema "nimekwisha ongea naye mara nyingi ila amekuwa na sababu nyingi mara kuchoka, mara ubize wa kazi, sababu nyingi tu. Natamani angalau mara moja moja nile chakula chakula kilichopikwa kwa mikono ya mke wangu".

Wanawake jitahidi waume zenu wale chakula kilichopikwa kwa mikono yenu angalau mara moja moja.
Mshauri rafiki yako aanze yeye kuwa anampikia mkewe kwa wiki moja mfululizo, hii michezo mingine wala haitaki hasira, harafu tuletee mrejesho.
 
Hii kauli imenishutua, nikauli kutoka kwa rafiki yangu ninayemfahamu kwa muda mrefu. Ndoa yao ina miaka 5 sasa na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike, kwa haraka haraka unaweza kuiona ndoa yao kama ni ndoa imara na yenye upendo mkubwa na kutamani kujifunza kutoka kwao.

Majuzi nilikutana na huyu rafiki yangu tulikuwa na maongezi ya kikazi, katika maongezi yetu tukawa tumeingiza mambo ya familia, ndipo nilishutushwa na kauli ya rafiki yangu "siku hizi simwambii mke wangu asante kwa chakula" nikamuuliza, kwa nini? "Tangu apate hii kazi aliyonayo sasa yapata miaka miwili sili chakula kilichopikwa kwa mikono yake angalau mara moja moja, kwa siku chache za mwanzoni alijitahidi lakini haikudumu kwa muda mrefu akaacha kabisa binti wa nyumbani akawa ndiyo muhusika kwa 100%.
Imenichukua muda mrefu kila nimalizapo kula chakula hasa umwambia mke wangu asante kwa chakula, kilikuwa ni kitamu.

Kwa sasa nimegundua kuwa ninachokifanya ni unafiki tu wa kumfurahisha mke wangu, huku nikiwa na manunguniko moyoni. Kwa sasa nikimaliza kula nasema asante aliyepika chakula, kilikuwa kitamu sana, naona hii kauli imemshutua na kumchanganya kidogo"
Nikamuuliza kwa nini anatumia njia hii badala ya kukaa naye wakaliongelea hili tatizo, akasema "nimekwisha ongea naye mara nyingi ila amekuwa na sababu nyingi mara kuchoka, mara ubize wa kazi, sababu nyingi tu. Natamani angalau mara moja moja nile chakula chakula kilichopikwa kwa mikono ya mke wangu".

Wanawake jitahidi waume zenu wale chakula kilichopikwa kwa mikono yenu angalau mara moja moja.

Wote wanafanana, me shachoka, nilimwambia tayari, jitahidi uonekana una Impact Nyumbani kwako, hasikii. Siku hizi hata akisafiri two weeks maisha yanasonga, mtoto wa kwanza wa kiume yupo na dada Poa sana, wa pili wa kike Ana mwaka na nusu ananipenda kuliko hata Mama yake, mi nikiondoka ndo mtoto a napata Tabu, yeye akiondoka wala hakuna Tabu. Tell your friend I can feel him, Haya mamtu Ni Tabu
 
Mshauri rafiki yako aanze yeye kuwa anampikia mkewe kwa wiki moja mfululizo, hii michezo mingine wala haitaki hasira, harafu tuletee mrejesho.
Huu unaweza kuwa ushauri mzuri, akunyimaye mpe.
 
Mkuu, sikuhizi katika mabinti waliofika vyuo vikuu, ukimpata atakayekupikia chakula, kukuchemshia chai au hata kukuandalia maji ya kuoga ni mmoja kati ya elfu1.

NA UMSHUKURU MUNGU WAKO.

Sikuhizi binti kabla hata ya kuolewa anamwambia mamaye amtafutie binti wa kazi na wazazi wanafanya hivyo.
kha hii yote inatokana na malezi ndugu so kama mkeo mvuvu ndo imekula kwako shule haina mchango wowote kwa hilo labda awe limbukeni tu mbona mi nafanya kila kitu na elimu yangu from asubuhi to jioni nikirudi maana simuamini hata siku moja mdada wa kazi maana unaweza mwambia fanya hiki akafanya kile sasa ya kazi gani bora nipige mzigo mwenyewe niridhike na nilichokifanya.
 
Ni Mtizamo wa kizamani sana huo.

Mke wako mnatoka naye wote asubuhi na mnarudi wote jioni. Yeye aanze kuhangaika kupika wakati wewe unaangalia taarifa ya habari. Hakuna kitu kama hicho.

Mwanamke mwenye akili ana delegate majukumu kwa kiwango kinachotakiwa kwa binti wa kazi ili binti apike kama yeye anavyopika. Akipata muda wa kupika atapika lakini sio lazima.

Na mwanaume mwenye akili hatalazimisha mke ampikie, ilhali wote wametoka kazini muda ule ule. Unless mama watoto anawahi kurudi muda mrefu kabla ya mume.
 
Wote wanafanana, me shachoka, nilimwambia tayari, jitahidi uonekana una Impact Nyumbani kwako, hasikii. Siku hizi hata akisafiri two weeks maisha yanasonga, mtoto wa kwanza wa kiume yupo na dada Poa sana, wa pili wa kike Ana mwaka na nusu ananipenda kuliko hata Mama yake, mi nikiondoka ndo mtoto a napata Tabu, yeye akiondoka wala hakuna Tabu. Tell your friend I can feel him, Haya mamtu Ni Tabu
Pole sana, na hongera kwa kuzikabiri changamoto.
 
Ni Mtizamo wa kizamani sana huo.

Mke wako mnatoka naye wote asubuhi na mnarudi wote jioni. Yeye aanze kuhangaika kupika wakati wewe unaangalia taarifa ya habari. Hakuna kitu kama hicho.

Mwanamke mwenye akili ana delegate majukumu kwa kiwango kinachotakiwa kwa binti wa kazi ili binti apike kama yeye anavyopika. Akipata muda wa kupika atapika lakini sio lazima.

Na mwanaume mwenye akili hatalazimisha mke ampikie, ilhali wote wametoka kazini muda ule ule. Unless mama watoto anawahi kurudi muda mrefu kabla ya mume.
Mtazamo wa kisasa ukoje? Na unadhani ni kwa nini wanaume hawafanyiwi kitchen party?
 
Ni Mtizamo wa kizamani sana huo.

Mke wako mnatoka naye wote asubuhi na mnarudi wote jioni. Yeye aanze kuhangaika kupika wakati wewe unaangalia taarifa ya habari. Hakuna kitu kama hicho.

Mwanamke mwenye akili ana delegate majukumu kwa kiwango kinachotakiwa kwa binti wa kazi ili binti apike kama yeye anavyopika. Akipata muda wa kupika atapika lakini sio lazima.

Na mwanaume mwenye akili hatalazimisha mke ampikie, ilhali wote wametoka kazini muda ule ule. Unless mama watoto anawahi kurudi muda mrefu kabla ya mume.
Inaomekana mara nyingi mwanamke anawahi kurudi.
 
Ni Mtizamo wa kizamani sana huo.

Mke wako mnatoka naye wote asubuhi na mnarudi wote jioni. Yeye aanze kuhangaika kupika wakati wewe unaangalia taarifa ya habari. Hakuna kitu kama hicho.

Mwanamke mwenye akili ana delegate majukumu kwa kiwango kinachotakiwa kwa binti wa kazi ili binti apike kama yeye anavyopika. Akipata muda wa kupika atapika lakini sio lazima.

Na mwanaume mwenye akili hatalazimisha mke ampikie, ilhali wote wametoka kazini muda ule ule. Unless mama watoto anawahi kurudi muda mrefu kabla ya mume.
ndoa nyingi zinakufa kwa ajili ya hii mada.Jiulize mnaoana kwa ajili gani kama kila mtu alikuwa kwake alikuwa anapika kwa nini sasa muanze mambo ya ajabu.
 
kabisa mkuu kupika mi naonaga ni hobby ya mtu maana kuna mwengine tu akitoka kazini changanya na uvivu ndo basi kapata kisingizio cha kuweka mguu juu ka mumewe .so kwa mtu anayependa kupika na usafi wa nyumba wala hutamwambia aache kachoka akuelewe atataka afanye maana anaenjoy.na wadada wengi tunaofanya kazi huu ni mtihani mkubwa najua lakini ukiwa unaonyesha jitihada hata mume atakuonea huruma .so tubadilike jamen.
unajua sometimes nikienda vijijini natamani ningekua na ujasiri kama wao manake mwanamke asubuhi anaenda kulima
akirejea anaenda kuchota maji na plus kupika,sisi wa mjini ambao ni Pen pusher mtu yuko kazini A/C full na akija nyumbani
hana mda wa kuangalia homework za watoto,wala kupika yeye na cm tuu kila kitu Dadaaaaaaaaaaa mpe mtoto uji,mara dadaaa ulisha pika chakula cha Baba,Dadaaaaaaaaaaa zile nguo ndogo za Baba umeziweka wapi yani 24/7 ni dadaaaaa eeh Dadaa halafu wana sema Baba ana mnunulia zawadi Dada ina maana gani...
 
Ni Mtizamo wa kizamani sana huo.

Mke wako mnatoka naye wote asubuhi na mnarudi wote jioni. Yeye aanze kuhangaika kupika wakati wewe unaangalia taarifa ya habari. Hakuna kitu kama hicho.

Mwanamke mwenye akili ana delegate majukumu kwa kiwango kinachotakiwa kwa binti wa kazi ili binti apike kama yeye anavyopika. Akipata muda wa kupika atapika lakini sio lazima.

Na mwanaume mwenye akili hatalazimisha mke ampikie, ilhali wote wametoka kazini muda ule ule. Unless mama watoto anawahi kurudi muda mrefu kabla ya mume.
Wote kua na ubze au kurudi muda sawa haibadilishi majukumu ya mke kwa mumewe....
 
Haya mambo yapo complicated sana. Mnatoka wote asubuhi, mnarudi wote usiku (hasa kwa wakazi wa Dar) ni ngumu mke kuwa committed jikoni. Tuwe tu wakweli, kuna maeneo ambayo kweli watu wakitoka job inawezekana sana kupika.

Tusiwe too conservative jamani. Hata wewe once in a while ingia jikoni upike.
 
unajua sometimes nikienda vijijini natamani ningekua na ujasiri kama wao manake mwanamke asubuhi anaenda kulima
akirejea anaenda kuchota maji na plus kupika,sisi wa mjini ambao ni Pen pusher mtu yuko kazini A/C full na akija nyumbani
hana mda wa kuangalia homework za watoto,wala kupika yeye na cm tuu kila kitu Dadaaaaaaaaaaa mpe mtoto uji,mara dadaaa ulisha pika chakula cha Baba,Dadaaaaaaaaaaa zile nguo ndogo za Baba umeziweka wapi yani 24/7 ni dadaaaaa eeh Dadaa halafu wana sema Baba ana mnunulia zawadi Dada ina maana gani...
kha inakera huu udada,nina mtu wangu wa karibu ndo tabia yake kuita dada na mi naona ni kwa vile mvivu na anajiskia kama yeye ni queen wa kukaa na kujiremba tu.yani huezi amini kama mimi mwanamke mwenzie nakasirika mume je.yani yeye kaweka mguu juu anatuma tu imagine.kweli wachawi ni sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom