fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
- Thread starter
- #41
Jamaa anasema angalau mara moja moja.Haya mambo yapo complicated sana. Mnatoka wote asubuhi, mnarudi wote usiku (hasa kwa wakazi wa Dar) ni ngumu mke kuwa committed jikoni. Tuwe tu wakweli, kuna maeneo ambayo kweli watu wakitoka job inawezekana sana kupika.
Tusiwe too conservative jamani. Hata wewe once in a while ingia jikoni upike.